Natoka K's Hotel sasa hivi ambako mahafali ya CHASO yalipangwa kufanyika.Nimefika hapo saa 11:30 am hivi na kukuta polisi wamezuia mahafali.Sababu ya kuzuia mahafali hayo ni kwamba YAMEKAA KICHAMA.Tumeongea na RCO amesema hakuna mkutano wa kisiasa,mahafali za kisiasa zitakazofanyika katika eneo...
KATIBA NIITAKAYO
1. SYSTEM OF ELECTION IBADILIKE
hapa Tanzania tumezoa first past the post FPTP ambayo anayeongoza kwa kura anachukua madaraka. kwa mtazamo wangu system hii ya uchaguzi ndiyo inayotufanya tushindwe kupiga kura kwa upande mmoja lakini kwa upande wa pili, inasababisha upotevu wa...
Rais wa chuo kikuu cha udaktari cha KCMC Moshi ndugu Telesphory Mula amesimamishwa masomo na uongozi wa chuo icho.
Sababu za yeye kusimamishwa masomo ni kupigania maslahi ya wanafunzi hasa wale wa mwaka wa kwanza MD1 ambao waliongezewa ada.
Rais aliwaandikia barua wanafunzi hao wa mwaka wa...
Rais wa chuo kikuu cha udaktari cha KCMC Moshi ndugu Telesphory Mula amesimamishwa masomo na uongozi wa chuo icho.
Sababu za yeye kusimamishwa masomo ni kupigania maslahi ya wanafunzi hasa wale wa mwaka wa kwanza MD1 ambao waliongezewa ada.
Rais aliwaandikia barua wanafunzi hao wa mwaka wa...
Jafary jembe namkubali sana huyu Meya.JK mwenyewe anamkubali.
Mameya wa Tabora na Dodoma wanakuja kujifunza mazuri yake hapa Moshi.Nitampa kura yangu.
Asante Ndesa umefanya mengi mazuri ambayo CCM wameshindwa kufanya kwa muda mrefu.Pumzika kura pensheni yako
Nimesoma katiba ya Chadema ibara kwa ibara sijaona ibara inayomzuia mwanachama kwenda mahakamani au kuvuliwa uanachama akienda mahakamani.
Naomba msaada zaidi kama kuna ufafanuzi wa vifungu au ibara kuhusu ili.
Jeshi la Polsi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lipo katika hatua ya mwisho katika kukamilisha ushahidi ili kumfikikisha mahakamani Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema Dokta Wilbroad Slaa pamoja na makada wa Chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa Habari mda huu Jijini...
Chenge ambaye anatuhumiwa katika kesi inayohusishwa na uchotwaji wa pesa ya Escrow ndio alikuwa Mwenyekiti wa kamati ya uandishi.Watu kama Sitta walimpongeza sana kwa kazi yake.
Kwa akili yangu ya kawaida nadhani katiba ni kitu kitakatifu sana.Ni document ambayo uandishi wake unahitaji umakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.