Inaelekea humfahamu Prof. Possi. Kwanza hajawahi kua waziri, pili amekua Prof. Miaka mingi iliyopita, tafuta reccords vizuri. Wakati anateuliwa kua Mkuu wa TSJ na Ben Mkapa, tayari alishakua Prof. Upo?
usimuingize mama wawatu katika hicho unachotaka kukianza... Kama wamekutuma wenzio, mwenzako kaona mwanga wa shule, na hayo yakwako wala hajihusishi nayo
And so what? Kwani pale UD kuna maprofesa wangapi ndugu, tena wapo waliooana... inamaana wasipewe vyeo kama wana qualify?... jitahidi na wewe uwe prof upate cha kwako... utaishia kuhesabu ndugu tu...
Jokes ni relative. Inategemea uko wapi, na uko na nani. Wengine wanataka mpaka mtu afunge matambara tumboni, jambo ambalo mini naona ujinga. Mwingine political commedy ya mtu kama Jonathan Mann, haelewi, anaelewa za Mr. Binn. Mwingine comedi kwake ni ya Masanja mkandamizaji... Wakati mwingine...
Mwenyewe amesha tweet kwamba ni "joke"... basi watu wasitanie hata kwa sekunde..!! Sawa bungeni is a serious place, lakini watu ndio wasicheke? Niambie bunge gani duniani hamna mtu aloyewahi kutoa jokes!
jamani.... tujaribu bas kujikosoa: katika hali ya siasa za sasa, mbunge mpinzani akisema tu walau maneno mawili tofauti na ya mwenzake, watu wana tafsiri kwamba "kuna kitu". Sasa ili kuweka reccord sawa, asionekane kwamba "amedharau", wakati mwingine ni lazima awe accountable kwa watu....
Mimi...
Watanzania wenzangu, tujaribu kuishi wa upendo, na tuepukane na tabia ya kujadili mambo kwa hisia. Leo hii tunanyoosheana vidole eti fulani hampendi fulani kwa sababu ni dini fulani. Wengine tunaitana majina kadha wa kadha… hawa washenzi, hawa magaidi nk.
Naomba niwakumbushe haya, kama...
Watanzania wenzangu, tujaribu kuishi wa upendo, na tuepukane na tabia ya kujadili mambo kwa hisia. Leo hii tunanyoosheana vidole eti fulani hampendi fulani kwa sababu ni dini fulani. Wengine tunaitana majina kadha wa kadha hawa washenzi, hawa magaidi nk.
Naomba niwakumbushe haya, kama...
Jamani.. kuna mambo mengine wakati utakapowadia yataonekana... otherwise mtatumia nguvu nyiiingi kufikiria mambo mengine ambayo wala hayapo.... just wait and see.... kaa, subiri, utapata majibu.... Wakati wa kugombea utafika, kila mtuatatangaza sera yake, kwa chama chake, na hatimaye kwa...
Kwenye interview una perform vipi? Kwa hiyo GPA mbona unaweza kuwa academician, au hutaki? Kwa hizo qualifications tatizo pia huenda likawa ni aina ya kazi unayoitaka... Kazi nyingi zinazohitaji masters, pia zinahitaji uzoefu kadhaa... kuwa tayari kujishusha... Masters being a specialized...
Eh... jamani, kumbe kukumbuka wabunge nao... au kusoma bila ulimi kuteleza (as if majina yote ni rahisi kusoma kwa kila mtu) ni vigezo vya uwaziri... na sisi watanzania at times tumezidi too much complaints... ka!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.