Sikilizeni nyie, acheni kudharau elimu za watu.hawa wote kwa ujumla wao wanaitwa madaktari, kuwa daktari sio lazima uwe na degree. hivi nyie mnafikiri Diploma ni ndogo.Mbona walimu wote wanajina moja, awe anacertificate ni mwalimu, Diploma ni Mwalimu, Degree moja ni mwalimu, Degree mbili bado...
Inaonekana Ritz pandikizi la ccm. unataka kutuaminisha kwamba ccm sasa safi, umenoa. mafisadi yote ya nchi hii yamejificha ccm, wakwepa kodi wote wapo ccm.
Kinana si lolote si chochote, kwa ujumla wananchi tumechoka na ccm, tunataka chama kingine kitawale nao tuwaone. si semi kwamba Chadema ndio watawale, na seme chama kingine kiingie madarakani kwani hata chadema nao sio wasafi sanaaaaaa, zito alikuwa kwenye kamati tanesco kafanya madudu tu na...
Ni tukio baya sana, imeniuma sana kwa kamanda wa mkoa kuuawa kwa risasi tena eti na majambazi.sasa tukio hili linaweza likawa limesababishwa na vitu vifuatavyo:-
1. mapenzi
2.kazi/ulinzi na usalama
3.siasa
kwa sababu zozote zile ni tukio la kulaaniwa sana. polisi fanya kazi yenu tuwajue wauaji.
If today 2012 adv Diploma is termed as equivalent to bachelor degree how about those days 1976? it was like PHD.Amejitahidi sana mama kuwa na Cv ya namna hiyo sio sawa na ya Sugu.
Tatizo la wabunge wanatafuta umaarufu wa wapiga kura, Hivi mtu km cheyo ambaye inaaminika ni msomi wa kirusi( textile Technologist) kama anavyojiita iweje autangazie umma kuwa no buku no cotton hali anajua kabisa soko la kimataifa limeanguka. Huu ni upuuzi mtupu, tunawadanganya wananchi kwa...
Mwigulu anajipanga kujibu tuhuma za EPA, anakusanya nondo, CHADEMA kuweni makini Mwigulu ni hatari.Ngoja niwaambie sifa moja ya wanyiramba, ni wabishi wa kuzaliwa na waliosoma ni welevu sana, yaani chadema hapo mmefika na amekabidhiwa mikopa na CCM kuhakikisha anawachanganya.Hongera mwigulu kwa...
Cv, Cv kiyu gani bwana, ni wangapi wanaitwa prof, Dkt lakini hawatusaidii wananchi, wanajaza matumbo yao tu. Tunataka watu wenye uchungu na nchi hii, ambao wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kutatua matatizo kama kina mbowe na Dr magufuli. Waliosoma sanaaaa ndio wanaokula sanaaaa, we do not need...
Sidhani kama wanaubavu km madaktari, Labda wangewahusisha walimu wa vyuo vikuu wangefanikiwa.Ugumu wa maisha walionao walimu vijijini na sehemu zingine ni kikwazo cha mgomo wao, wale wote wanaotarajia kustafu kutokana na umri hawapo tayari kugoma hilo walijue, Kuna ongezeko kubwa la wahitimu wa...
Huyu mama Cv yake naikubali, haya aliyoyasema bungeni kuhusu Dkt UL ni siasa tu wala sio ufinyu wa elimu.ADE na PGD ni elimu za juu na zinazotambulika. Unaweza ukawa mhandisi bila kupitia UDSM(COET), kuna vyuo kama DIT, MIST na vingine vinavyotoa elimu ya kihandisi. Ukienda pale Bodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.