Nadhani inawabidi hata madkt nao wakajitokeza ktk media ili kufunua upande wa pili wa shilingi umma ukajua kwani walio wengi wanachojua kupitia pilisi na serikali ni maslahi tu ndio yanayowafanya wagome ili hali wana madai mengi na ya msingi kabisa.
Pole sana naona hapo ndo mwisho wa uelewa wako, wananchi hatuhitaji mipasho ya kitoto bungeni tunataraji kusikia kile ambacho wawakilishi wetu tumewatuma. Hajishughulishi kutafuta hoja zenye mashiko hayo ndo matunda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.