""Siku ya 6 sasa jua halijawaka Dar, Kuna timu jua likikosekana huwa inafungwa mara nyingi...na Kuna timu mvua lazima zinyeshe ili ishinde...
Tujiandae kwa hilo..""
Alisikika mzee mmoja akiyasema hayo.
Plot hole kwenye script..
1..dada anaonekana anatumia smartphone so obviously restaurant wangechukua smartphone zao badala ya kuwapeleka polisi na kutumia gharama zaidi, wakileta pesa kesi imeisha.
So muandaaji hapo angeweka kisimu cha buku 12 siyo hiyo..
But all in all, jamaa is the legend.
Anaishi mama huko kuwa makini, team top yote ya sasa na uongozi ule wa kabla ya jiwe location yao hiyo, bila kusahau wazee wa miwani rangi nyeusi wapo kama wote hapo..
Hao ndiyo wale ukioa zako zake, zake zake
Tabia ya kwenye level za 20,000 tsh sijui mkifika kwenye level za millions itakuaje.
Dalili ya mvua mawingu mengine jiongeze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.