Jamani tupange uzazi...tuzae watoto walau tunaoweza kuwapa shule na mahitaji ya msingi..mitaani watoto kibao tunafyatua tu bila kujali uwezo wetu.....mstakabali wa watoto hao nk.....tunasema eti kila mtoto kapangiwa na Mola......
Siku za mikutano ya UKAWA ndio umeme unakatwa, manake hata sehemu ambazo hazina grid ya taifa napo kunakuwa na matatizo ya umeme siku za mikutano hiyo. Jamani tufanye siasa nyingine na sio kugusu huduma za msingi
Ni kweli kabisa lipo confortable na speed usipime! Hata service na spare-parts bado ni bora kuliko hayo mengine yanayobadilishwa kila siku. Service inakwenda mpaka 9,000 KM au 15,000KM kutegemeana na oil, pia ATF inakwenda mpaka 30,000 KM. Ni bora kuliko service za 3,000KM na oil-filter za 5,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.