Yaani vijijini hawajali sijui kuoga kupendeza ....kupaka mafuta yaani wanalalla hivyo hivyo wakiamka safari muziki.....hakuna hata mpangilio wa maisha....watoto wanajilea wenyewe kupika ni majaliwa baadhi ya kaya
Hongera sana kwake.....pia ushauri wa bure.....atafute kiwanja ajenge chumba sebule hata 40 akiweza atanishukuru baadae.....chumba 1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....mpira suala mpito
.
Bado watanzania tunasubiri ukweli mchungu sana ....nani ña nani walichota pesa BoT? Nani alitaka kusigina katiba awe yeye rais wa mpito ? Ikawaje ? Ukisema hapo utakuwa msema kweli na historia itakukumbuka daima.....ingawa hata sasa si haba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.