Tumaini Makene mbona viongozi wa kitaifa hawaendi wilaya ya Ngara wananchi wanawasubiri kwa shauku kubwa mno,Ngara tuko tayari kwa mabadiliko Dr Slaa rais mtarajiwa anasubiriwa kwa hamu kubwa
Hii thread kwa Great thinkers naona watu wanaogopa kuchangia ni facts zinashushwa Ahsante The Boss ,mzee Tupa tupa nondo zenu ni too heavy
Hizi facts ndo zinanifanya kujiona wa bahati kuwa member wa Jamii Forums
Hongera Saana kamanda Alphonce Mawazo kwa kazi njema ya ukombozi wa pili, ni kweli Bukoba vijijini imesahaulika cjui Kamanda Rwakatare ina mikakati gani kama mwenyekiti wa Mkoa?
Ukweli mtupu kuwapata viongozi wanamna hiyo na wananchi kuelewa majukumu ya kiongozi wake na yeye kutambua majukumu yake,itaikomboa jamii yetu yote,sasa jamii inamuona kiongozi kama Mfadhili rejea kwa Mh. Mamvi misaada anayotoa makanisani na misikitini,simply anakuwa kiongozi bora.Hii...
acha uvivu hayo ndo matokeo ya deadline, ungelipia mapema huo usumbufu usingekabiliana kiukweli nbaa wanajitahidi sana kucomply na standard zao walizojisetia
karibu kwenye dunia ya weredi
Mamndenyi hatutaki kuondoa CCM ili CHADEMA itufanikishe maisha yetu binafsi hapana,tunataka kuiondoa CCM maana imeshindwa kuongoza Nchi nadhani hata wewe ni shahidi katika hili.Tunachokitaka ni serikali kutimiza majukumu yake kama kuboresha huduma za afya kwa maana hospital ziwe na madr na dawa...
,
Mimi binafsi ntamshukuru Mungu,kushuhudia mabadiliko ambayo yanamchango wangu kwa jamii ilionizunguka kwa suala Zima la mabadiliko,nimetoa Elimu hii kwa ndugu,rafiki,majirani zangu kila mtu aliyekaribu ujumbe na elimu ya mabadiliko
hilo ndo jukumu langu la msingi,so kiukweli mimi ni wakala...
hiyo biashara ya papuchi ndo kushney atabaki kula hiyo misosi but ule utamu wa papuchi atabaki kuuskilizia na suala Zima la kusaidiwa haliepukiki
hivi mtu mpaka ananenepa hivyo anakuwa hajishtukii?
safi sana makamanda hakika hakuna sehemu itakayosalia ambayo Oparesheni Daima Pamoja haitafika hadi Ngara na maeneo yake kama Murgwanza,Mukididili,kabalenzi,Mugoma,Kabanga,Rulenge,Kanazi,Mabawe,Shanga,Muruvyagila,Nyamiaga,Benako safi sana makamanda pelekeni ujumbe wa mabadiliko na ukombozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.