Rais Kikwete hongera kwa uamuzi mzuri wa kusema kwel coz madaktari wanachotaka hakiwezekan,jamani hebu fikiria kama mshahara wa daktari anayeanza kazi uwe 7.5 mil sasa mshahara daktari aliyeko kazin miaka kumi utakuwa ni kias gan,we've to think twice jaman,ingawa kwel mazingira ya kaz ni mabovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.