Sidhani kama ni sawa na Salama Kuwapeleka Madaktari Wetu Kenya. Usalama wao Utakuwa mashakani saaana kwa hali ilivyo sasa. Hata kama tungekuwa Nao wa kutosha na kupitiliza.
Usalama Kwanza.
Lowasa amekukosesha usingizi eeh?
Pole sana.
Pressure itawauwa Mwaka huu.
Angalia Maisha yako achana na Lowasa achana na Ukuta.
Pili Pili usioila yakuwashiani?
Haya mambo ya Kunyanyasa Wapinzani tana Mwisho wake.
Na hauko Mbali.
Uraisi ni jambo hakutarajia. Pia limemzidi uwezo..
Nadhani hajiamini.
Na mbaya zaidi ccm kuna wanafaiki wengi saaana. hawaambianagi ukweli wote.
Uongozi ni Influence sio mabavu na fimbo sitasita.
Kwa design hii.......
Muhimu:
Ni Muhimu Kuhamia Dodoma.
Lakini
Si-lazima kwaharaka namna hiyo.
Muhimu
Kuwasaidia wagonjwa wa pale Ocean Road Hospital kwa Vifaa na Madawa na pia Wataalamu wa kutosha
Ni Lazima
kufanya hivyo kwa sasa kuwasiadia Ndugu zetu.
(Unaweza kuongeza orodha ya mambo ambayo sio tu ni muhimu...
CCM ni chama limekuwa chama dhaifu sana kwa muda mrefu na sioni kama wana mpango wa kuachana na udhaifu wao. Hizi ni baadhi ya sababu au mambo yanayopelekea nikasema hivyo.
Unaweza kuongeza zingine pia;
1. Hawashindani kwa haki au Kihalali
Mtu anaposhindana na mpinzani wako huku umejijengea...
Hivi unadhani ccm wana haki miliki ya hii Tanzania ?
Ni nani aliyempa Raisi malmaka ya kuamulia watu wengine waishi vipi na wafanye vipi mambo yao?
Je, Katiba ya Nchi hii inasema nini juu ya uhuru wa kukutana kuandamana ?
Kwani Raisi Magufuli yuko juu ya Katiba? Si jambo zuri hata kidogo...
Mkuu uko sahihi.
Huyu jamaa anahiyo tabia mbaya ya kukatiza wageni wake wanapookuwa wanashusha points.
Nakumbuka siku alipokuwa na Mch. Msigwa. Sikupfurahia kabisa tabia yake hiyo mbaya. N hasa mtu anapotoa maoniyanayotofautia na serikali au kuikososa serikali.
Ajirekebishe.
Haya yote yanayotokea ni dalili wazi za kuchoka kwa ccm. Madudu madudu tu.
N kulazimisha mambo kutawagharimu sana.
Hakuna ridhaaa ya wananchi kuongozwa na ccm.
Tangu Lubuva ameaanza kutangaza matokeo feki, sijakutana na zaidi ya watu 3 wanaofurahia au kushangilia.
Ninakutana na watanzania...
Haya yote yanayotokea ni dalili wazi za kuchoka kwa ccm. Madudu madudu tu.
N kulazimisha mambo kutawagharimu sana.
Hakuna ridhaaa ya wananchi kuongozwa na ccm.
Tangu Lubuva ameaanza kutangaza matokeo feki, sijakutana na zaidi ya watu 3 wanaofurahia au kushangilia.
Ninakutana na watanzania...
KWELI ccm MNA HALI MBAYA SAAAAAAANAAAAA. MKO HOI TAABANI.
KAMA MNAAMINI ccm NI CHAMA BORA NA MTASHINDA MBONA KELELE NYINGI SANA.
KWA NINI MNAWOGOPA LOWASA? KWA NINI MNAOGOPA UKAWA?
WATU WENYE UHAKIKA NA MAFANIKIP YAO HUWA HAWAPIGI KELELE KIASI HIKI.
UKWELI NI KWAMBA MAJI YAKO SHINGONI...
Pole sana mapozi baby.
Ushauri wangu ni kama ifuatavyo;
1. Unapaswa kumsamehe. Usikae na kinyongo ndani yako. Kukaa na uchungu ndani ni hatari sana sana. Kutakuletea
madhara makubwa kiroho na kimwili(kiafya)
2. Uwezo wa kukwazika au kutokwazika unao wewe. Nakusahuri usikwazike
3...
Watanzania tumebadilika. Hatuitaki ccm. Tunataka mabadiiko. ccm haiwezi kuyaleta. wewe hujabadilika kamaulivyosema ndio maana huoni hivyo. Tatizo hapa sio Lowasa au magufuli. Tatizo ni mfumo-system. Tunataka Tanzania Mpya. Chini ya ccm hatiwezi kuipata. Tumebadilika ufahamu na mtazamo.
Sikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.