Search results

  1. H

    Uchaguzi 2020 Haileti mantiki

    Katika uchaguzi huru na wa haki, kila mpiga kura huwa na uhuru wa kuchagua mgombea yeyote anayeona anafaa lakini pia huwa huru kwa lolote ikiwa kura yake ameiharibu, amechagua kiongozi ambaye hatafaa au yule anayefaa. Katika uchaguzi wa mwaka 2020 Tanzania, inaweza kuonekana ulipagwa kwa ubora...
  2. H

    Magufuli na status quo!

    Naomba nikusahihishe hapo. Police Form 3(PF3) ni muhimu katika ajali, unapopata ajali kuna vyombo vinavyohusishwa kumbuka hapa suala nyeti ni UHAI na USALAMA. Usalama ndiyo wenye ku_determine uhai na si vinginevyo, hata hivyo vyote hivi hufanyika kwa pamoja au kwa ukaribu mno. Ni makosa...
  3. H

    HAPA KAZI TU# Slogan hii inatumika vibaya!

    Hakuna "slogan' ambayo haitumiki/haijawahi kutumiwa vibaya!
  4. H

    Ni kosa kubwa daktari kuwa Mkurugenzi wa Hospitali

    Well said. Besides there's a course ya Administration na practicals("field") wanayofanya! Ajiulize Prof. Mseru(MOI) na Prof. Lema(MNH) walikuwa ni kina nani na Hospitali zilikuwa na hali gani!
  5. H

    Bugando kupata Mashine ya MRI!

    Bora kukaa kimya kama hujui jambo! Kutoa ruzuku kwa "kila hospitali kunafanya" Bugando kuwa hospitali ya Serikali? Pili, umuhimu wa kuchagua CT Scan over MRI ni upi au unadhani zote zinafanya kazi sawa!?
  6. H

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Hivi rationale mnaitoa wapi? Ni watumishi wangapi wa Serikali wanahitaji fedha kwa ajili ya mikopo pengine nyumba au usafiri.Mf. Elimu, Afya n.k? Kwanini wao wasisikilizwe ila kundi moja tu 'wabunge' wenye kukaa muda wa miaka mitano at most miaka 10, ambayo kwa ufuatiliaji wao ni mgumu...
  7. H

    Hivi unajua bia moja kwa siku inaweza kubadili maisha yako?

    Mkuu kuna tofauti kati ya mnywaji na mlevi, Mlevi anapitiliza kiwango cha unywaji wa 'Afya'. Maelezo mazuri haya.
  8. H

    Rais Magufuli, Naona Changamoto na mtihani mgumu sana mbele yako

    Hivi mlisema JK mpenda sifa? Ngojeni muone.
  9. H

    Milioni 50 kila kijiji, laptop kila mwalimu na elimu ya bure kipimo cha kwanza kwa Magufuli

    Bado anahaha kutafuta hiyo pesa kwa kubana matumizi, vuta subira.
  10. H

    DC amfukuza kazi Mganga wa zamu kwa uzembe kazini baada ya kukataa kumtibu Mtoto wa miezi 6

    www.wavuti.com/2014/05/hotuba-ya-rais-kikwete-katika.html?m=1 Soma hiyo hotuba hapo, au pitia/ulizia takwimu kwa msajili wa madaktari pale wizarani, Mkuu.
  11. H

    Kero ya Rais kutumia barabara

    Wewe kuwa askari haimaanishi ndiyo kujua lililotokea Chalinze(ambapo mleta mada ndipo amesema), kwani askari kitu gani? Na bado inaweza kuwa ni askari magereza, sasa vinaingiliana hapa(au kwasababu unadhani naye ni askari wa usalama barabarani)? Kitu kinachozungumzwa kipo sana, hata hapa...
  12. H

    Kero ya Rais kutumia barabara

    Madaktari wa nini, si alijidai yuko fit kwa kupiga push up? Au ni woga baada ya ile ajali ya Ruvu!
  13. H

    Dr. Magufuli na usanii wa Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili

    Ritz, hili ndilo jambo ambalo watu wanachanganya! MOI ni Taaasisi(ina uongozi wake ingawa kuna MoU ma MNH), Vitanda hivi vya MOI na si vinginevyo(MNH). Ukosefu wa kutambua hili au kupotosha kwa makusudi(kwa malengo binafsi) ndiko kunasababisha haya!
  14. H

    Dr. Magufuli na usanii wa Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili

    Hakuna cha kujifunza manunuzi ya hospitali or such non sense! Kilichoandikwa ndiyo hakika though vitanda hivyo ni vya MOI na si MNH. Wajinga ndiyo waliwao!
  15. H

    DC amfukuza kazi Mganga wa zamu kwa uzembe kazini baada ya kukataa kumtibu Mtoto wa miezi 6

    Mkuu ninaongelea huyo huyo MD unayemfahamu,(yaani aliyesoma na kumaliza miaka mitano). Mfano juzi juzi hapa MNH ilihitaji watu watano, na ikaamua kuongeza idadi hadi wanane. Number ya walioomba nafasi ni 156! Okay unaweza kusema hii ni MNH na "wengi" wanataka kubaki hapa mjini lakini je...
  16. H

    DC amfukuza kazi Mganga wa zamu kwa uzembe kazini baada ya kukataa kumtibu Mtoto wa miezi 6

    Kuna MD(Medical Officers) wengi tu mtaani hadi leo, serikali inaendelea kuchezea afya za wananchi na Clinical Officers, kwanini wasipate viburi na kujiona miungu?
  17. H

    Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha nne, nimetengeneza website

    Mawazo na mafanikio mazuri. Pengine marekebisho madogo katika aina ya rangi tu kwa baadhi ya subsection ili kuvutia watu/kuepuka matumizi ya rangi kali(bright colours). Yaani bright colours huvutia kusoma(hasa mitandaoni) lakini hazipaswi kuwa bright colours nyingi kwa pamoja. Again, Hongera.
  18. H

    Hospitali Kuu ya Taifa Muhimbili yapokea vitanda na magodoro

    Ni wapi walipata order ya kutengeneza vitanda aina hiyo 500? Halafu kama wao walikubali kupata order iweje wasipeleke vifaa hivyo but "msd" ndiyo wavichukue(tazama picha)? Kama vilikuwepo, tatizo lilikuwa halijulikani? Halikuwahi kuongelewa au kuzungumzwa hili, na watu waliongea wakaonekana...
  19. H

    Hospitali Kuu ya Taifa Muhimbili yapokea vitanda na magodoro

    Ni wapi walipata order ya kutengeneza vitanda aina hiyo 500? Halafu kama wao walikubali kupata order iweje wasipeleke vifaa hivyo but "msd" ndiyo wavichukue(tazama picha)? Kama vilikuwepo, tatizo lilikuwa halijulikani? Halikuwahi kuongelewa au kuzungumzwa hili, na watu waliongea wakaonekana...
Back
Top Bottom