mkuuu MWL.RCT saivi napeta na line tofauti asante mkuu nitawashtua na jamaa wengine wakitaka huduma nilijua baada ya kutuma hela hutopatikana tena ila umeni prove wrong kati ya watu saivi wanoaminika na ww upo katika list pia again thanks acha niendelee ku enjoy
mkuuu MWL.RCT saivi napeta na line tofauti asante mkuu nitawashtua na jamaa wengine wakitaka huduma nilijua baada ya kutuma hela hutopatikana tena ila umeni prove wrong kati ya watu saivi wanoaminika na ww upo katika list pia again thanks
Aya ya 114 ya sura gani au umeambiwa hivyo kanisani na mashaka ya Quraan ukitoa aya moja tuu ambayo haina ufafanuzi basi nakufata kanisani aidha moja itakua uelewa wako mdogo ama una chuki ya kikristo.
Lakini ukisoma biblia ukianza tuu na genesis basi unakutana na makosa na ndo maana tunasema...
Una reference ya hayo unayoyasema mkuu au unajiropokea tuu nikuone unajua na ww kama unayo niletee Quraan ikashauri kusoma Bibilia itakua si Quraan yetu hiyo
Ismaiil mkuu muda mwengine unakua huisomi hata hiyo biblia yanyewe msikilize yesu anasemaje kuhusu hayo unayo ya discuss ww
But I say unto you, Swear not at all; neither by heaven; for it is God's throne (Matthew 5:34)
And anyone who swears by heaven swears by God's throne and by the one who...
Hamn kitabu kinachoitwa biblia mungu hatambui hakuna mtume alopewa hicho kitabu hamna aya kwenye biblia yenyewe kwamba biblia ni kitabu ije itambue Quraan tukufu sheikh Ismaail vipi bana
Kila mtume anakuja na miujiza yake ukitaka mujiza ya mtume wetu mtukufu basi soma sira(biography) yake utajua alikua na miujiza gani hata mtume Suleiman alikua na miujiza ambayo jesus alikua hana ukisoma Quraan.
unajua maajabu ni nini jee biblia inayo maajabu si rahisi kwasababu hakuna kitabu cha mungu chenye makosa na biblia inamakosa ya kiuwandishi na yakiungu pia hakiwezi kuwa kitabu kabisa hasa katika karne hii ambayo tunatumia software tofauti kugundua makosa
Mkuu Ismaail,
Umemsoma Faizafoxy hapo juu Taurati Injil na Zaburi walioshushiwa wakati huo walishavinajisi hivyo vitabu na ndo maana haviko safi nitakupa mfano kama Taurati hamna tena hata katika biblia kuna kumbukumbu la taurati lakini yenyewe iko wapi hamna na ndo maana ikashuka quraan na...
Nitakuoneshaje wakati biblia mushainajisi taurati kwani ipo kwenye biblia na hii ndo sababu ya kushuka kwa quraani mungu wa kweli alipoona munajiandikia yale munopenda nyinyi tofauti na alivyofundisha
Mkuu tukupe jina la uislamu kwenye Taurati na Injil wakati hicho kitabu cha biblia kishabadilishwa mara 200 kidogo hapa hoja ni jee yesu mungu waislamu wanakataa sio mungu nyinyi mnasema mungu wakati yesu mwenyewe anakataa kuwa sio mungu nazipo aya clear kabisa katika biblia yenu
Mkuu ismaiil
Huongei na mkiristo hapa unaongea na muislamu, kunipa porojo zilokua hazina mpangilio ziache kanisani sio kwa waislamu kama maelezo yako nitayachukua kama yalivo basi yatakua yana contradict na maneno ya yesu na bibilia pia nitakupa mfano hapo nilipoeka red maneno hayo yanapinga na...
Mkuu hiyo ni biblia yako unataka me nikujibie nimesema nitafsirie hayo maneno kama kiingereza kinapiga chenga nitakuwekea aya ya kiswahili me sitaki kujua nani anasema ila nataka tafsiri ya maneno niloweka red kama biblia inavyokutaka katika (I thessalonians 5:21) Prove all thing; hold fast that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.