Habari zenu wadau wa jf. Naomba kupata msaada kwenu kama kuna mtu ana taarifa za uhamisho wa watumishi waliomba kuhama decemba 2013 na kutakiwa kuhama january 2014 je kuna taarifa yeyote maana TAMISEMI wapo kimyaa.
Habari za majukum wadau wa jf. Naomba kupata msaada kama kuna mtu ana taarifa za uhamisho wa watumishi waliomba kuhama desemba 2013 na kutakiwa kuhama january 2014 taarifa rasmi ya uhamisho wao inatoka lini maana tamisemi wapo kimyaa..
Hivi uchaguzi 1995 kurudi nyuma kulikuwa na kadi ya mpiga kura jibu ni hapana sawasawa na katika sensa kuanzia sensa ya mwaka 2002 kurudi nyuma hapakuwepo kipengele cha dini ila kwa sasa kinahitajika kiwepo kutokana na mabariko ya mazingira .mabadiliko ni hali ya kawaida katika maisha.FUNGUKA WEWE.
Kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio toa kilichopo jichoni mwako kwanza.
Mi nahis ungeanza kuianika CV yako then nitakuwekea ya Mr kubenea,ukishndwa kuweka yako utaikosa ya Mr kubenea.
Tanga Tech.
J.K Kikwete
Omar Nundu
Pombe Maguful
Mwantumu mahiza.
Saidi wema
chakushangaza walikuwa Class moja kilanja wao alikuwa akitwa chenge kama sikosei.
Dah! Changamoto ndio mbolea ya tabasamu langu,siwez kuzikwepa.kwa wanaoweza kunishauri wanishauri zaidi na wenye majungu endeleeni kunidiskalej maana bila nyinyi changamoto kwangu zitakosa virutubisho.
Mimi ni muandishi wa vitabu vya Riwaya,Tamthilia na Ushair ninahitaj msaada wa udhamin wa kuchapa kitabu ambacho nimekiandaaa kitakachoitwa ''NYARAKA NYEUSI''
kama unaweza kutoa msaada huu nijulishe hapaha.
Vipi ninaweza kupata softwares za Nokia 5330-1d Tv mobile.
Tv system ktk hii nokia haifanyi kazi tatizo ni software sio hardware.nimetembelea mtandao wa nokia nimeshindwa kuzipata. Help me.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.