ANAYETAKIWA KUJIBU hayo maswalini kamani ni kwanini mtu astaafu mwakajana na mpaka sasa anasomeka km mtumishi inamaana kwamba wanalipa mishahara hewa kibao
inaonekana wewe umetumwa na mgawe hapa jamvini au we ni kijana mtoto wake ada uliyokuwa ukilipia nje ya nchi imeisha na hakuna pa kuiba tena.....acha mwakyembe afanye kazi sisi ndio wananchi tunaona anafanya kazi akikosea tutamwambia na sio wewe kibaraka
naona wewe una hamu ya kumuita mtu mwizi au kujionesha mbele ya watu kwamba wewe naye umeibiwa....wewe unawezeakuidhi kwa hicho kisai kidogo cha pesa????? au mkuki mtamu kwa nguruwe??
we ni mbuzi sana tofauti ni kwamba ni kwamba ni mbuzi unaekula ugali......na wewe kama ni mjuu wao au mjomba au shangazi yao utakwenda na lazima tukufikie tu
inaonekana wewe naye ni mhamiaji haram kwasababu unachokiandika hapa ni cha kijinga sana,,hivi wewe unaweza kuipinga kazi inayofanywa na rais??? kwani kuna mtu aliwaita kuingia tanzania na kuanza kufanya ujambazi?? acha waondoke ili majeshi yetu yatapambana nao vizuri wakirudi kuvamia kama...
sio wageni tu mh...nape bali watoto wa viongozi na watoto wa wajiriwa katika idara hizo ndio wanopewa kipaumbele sana hawa wageni hakuna anawalalamikia bwana mkubwa mbona unakwepesha mambo na kati ya wanaolalamika ni mimi hapa.....
wawafukuze tu kama hawafyata taratibu,,,,,we unataka tufuge majambazi,,,??? kani ulishasikia hao watanzania na wao wanateka magari na wanafanya ujambazi huko kwao???? acha ubwege wewe....kama wewe naye ni mkimbizi au mvamizi wa nchi yetu ya tanzania ondoka au kama wewe naye ni jambazi ondoka...
ushahidi upo ndio maana hawajafukuzwa,,na kama wapo si wawafukuze nchi yetu ni kubwa na nina imani hapo walipo waliacha nyumba na familia zao zipo so wapo tu waje home kama hawatakiwi kama tulivyowakataa hao wanyarwanda na majambazi wanaoteka mabasi hapo burigi
watanzania waliopo rwanda si wamefuata taratibu ndo wakaingia.....hapa hakuna cha kuongea wao waende tu kwao bwana kwani huko kwao kumekuwaje??? si wananchi yao?? watuachie nchi yetu...
elimu na uwezo wake wa kutambua mambo ndo umefikia hapo na akaona huo ndio mchango wake...usimshangae mtazamo wake ni mfupi sana....anatakiwa ajue tume haipo kwa ajili ya kukubalia maoni ya ccm bali maoni ya wananchi zaidi ya milion 45....akiwemo na yule aliezaliwa leo
mie nilishauliza hapa mh....hivi lowassa anasifa gani au record ya jambo gani kama akina magufuli au mwakyembe ya kumwezesha kuwa rais wa nchi hii..hakuna mwenye jibu badala yake wanaomshabikia ni watoto wa matajiri na wafanyabiashara wenzake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.