Search results

  1. T

    Mwakyembe awafukuza kazi wafanyajazi 13

    kwahiyo kama amestaaf wizi alioufanya umestaafu?????
  2. T

    Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    ANAYETAKIWA KUJIBU hayo maswalini kamani ni kwanini mtu astaafu mwakajana na mpaka sasa anasomeka km mtumishi inamaana kwamba wanalipa mishahara hewa kibao
  3. T

    Yafahamika: Meli iliyobeba sukari haikuzama kama ilivyodaiwa, shehena imeibiwa na kuuzwa Kenya

    hao hawajui wanachokisema....hiyo meli ni zaidi ya bilion mbili...wao wanaropoka tu
  4. T

    ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

    chama cha akina mwigamba+zitto+kitila... ndio maana kina jina la KANISA
  5. T

    La Zitto Kuvuliwa Nyadhifa CHADEMA: Mhe. Zitto, Please! Play It Cool!-Usijibizane Mitandaoni!.

    we unaejiita pasco nadhan siasa huijui badala yake we ni shabiki wa mtu fulan unaemtaja....pole sana...
  6. T

    Kama hujajua kama umepata LOANS from HESLB tupia form index no usaidiwe

    S0778/0067/2005 tafadhal msaada jamani hapa saut bukoba...baed
  7. T

    Kama hujajua kama umepata LOANS from HESLB tupia form index no usaidiwe

    S0778/0067/2005 naomba msaada wenu wanajamvi tafadhali kunitazamia hiyo namba kama ntakuwa nimefanikiwa kupata mkopo nipo SAUT-BUKOBA ,,BAED.
  8. T

    Maudhi ya operesheni kimbunga!!

    wewe kama sio mtanzania rudi kwenu bwana mnatubana sana hapa nchini kwetu acha kuleta majungu hapa jamvini....mbona hata mie nakujua wewe ni mkenya
  9. T

    Bodi ya Bandari yamuondoa Kipande, Mwakyembe aizuia

    inaonekana wewe umetumwa na mgawe hapa jamvini au we ni kijana mtoto wake ada uliyokuwa ukilipia nje ya nchi imeisha na hakuna pa kuiba tena.....acha mwakyembe afanye kazi sisi ndio wananchi tunaona anafanya kazi akikosea tutamwambia na sio wewe kibaraka
  10. T

    kazi ya duka

    naona wewe una hamu ya kumuita mtu mwizi au kujionesha mbele ya watu kwamba wewe naye umeibiwa....wewe unawezeakuidhi kwa hicho kisai kidogo cha pesa????? au mkuki mtamu kwa nguruwe??
  11. T

    Operation ya JK imeendeshwa kinyume

    we ni mbuzi sana tofauti ni kwamba ni kwamba ni mbuzi unaekula ugali......na wewe kama ni mjuu wao au mjomba au shangazi yao utakwenda na lazima tukufikie tu
  12. T

    Mateso kwa wahamiaji haramu -Hofu kwa wananchi wa Kagera'

    inaonekana wewe naye ni mhamiaji haram kwasababu unachokiandika hapa ni cha kijinga sana,,hivi wewe unaweza kuipinga kazi inayofanywa na rais??? kwani kuna mtu aliwaita kuingia tanzania na kuanza kufanya ujambazi?? acha waondoke ili majeshi yetu yatapambana nao vizuri wakirudi kuvamia kama...
  13. T

    Salute Kwa Rais Na Waziri Membe:- Hatimaye Mnaongea Lugha Wanayoijua Vizuri The Banyamulenge!!

    acha waende kwao ili tukianza kuwapiga tusiwe na ndumila kuwili wa kupeleka ujanja tunaotumia kuwapiga,,,so tukiwapiga tunakuwa tunajuwa hakuna jmaa yao hap
  14. T

    Muhimu: Kulinda ajira za wazawa Tanzania...

    sio wageni tu mh...nape bali watoto wa viongozi na watoto wa wajiriwa katika idara hizo ndio wanopewa kipaumbele sana hawa wageni hakuna anawalalamikia bwana mkubwa mbona unakwepesha mambo na kati ya wanaolalamika ni mimi hapa.....
  15. T

    Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!

    wawafukuze tu kama hawafyata taratibu,,,,,we unataka tufuge majambazi,,,??? kani ulishasikia hao watanzania na wao wanateka magari na wanafanya ujambazi huko kwao???? acha ubwege wewe....kama wewe naye ni mkimbizi au mvamizi wa nchi yetu ya tanzania ondoka au kama wewe naye ni jambazi ondoka...
  16. T

    Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!

    ushahidi upo ndio maana hawajafukuzwa,,na kama wapo si wawafukuze nchi yetu ni kubwa na nina imani hapo walipo waliacha nyumba na familia zao zipo so wapo tu waje home kama hawatakiwi kama tulivyowakataa hao wanyarwanda na majambazi wanaoteka mabasi hapo burigi
  17. T

    Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!

    watanzania waliopo rwanda si wamefuata taratibu ndo wakaingia.....hapa hakuna cha kuongea wao waende tu kwao bwana kwani huko kwao kumekuwaje??? si wananchi yao?? watuachie nchi yetu...
  18. T

    Storeman position in a warehouse

    acha utapeli hakuna nafasi zilizotangazwa bulyanulh... chukueni tahadhali kwa huyu tapeli badae ataanza kuwapigia cm kuomba atumiwe hela kwenye m-pesa
  19. T

    UVCCM: Kikwete vunja tume ya katiba mpya by mwenyekiti wa uvccm kilimanjaro

    elimu na uwezo wake wa kutambua mambo ndo umefikia hapo na akaona huo ndio mchango wake...usimshangae mtazamo wake ni mfupi sana....anatakiwa ajue tume haipo kwa ajili ya kukubalia maoni ya ccm bali maoni ya wananchi zaidi ya milion 45....akiwemo na yule aliezaliwa leo
  20. T

    AUDIO: Nilichokisema Jana Makutano na Fina Mango!

    mie nilishauliza hapa mh....hivi lowassa anasifa gani au record ya jambo gani kama akina magufuli au mwakyembe ya kumwezesha kuwa rais wa nchi hii..hakuna mwenye jibu badala yake wanaomshabikia ni watoto wa matajiri na wafanyabiashara wenzake
Back
Top Bottom