Hakika atakuwa ameandikiwa na masalia wenzake. Ila juliana na huyo getu hata kuongea hawaongei maana ndo wao wakina dotto kurwa waliomchafua FB akidhani atagombea nafasi yk.
Makamanda wa cdm Katibu wa chama, mwenyekiti wa chama, na mbunge aliye likizo wamekamatwa alfajir ya leo na kufikishwa central dsm, km kawaida nguvu ya umma tuungane kupigania haki..
Hapo kalamba karata antakiwa afute kauli mbele ya bunge na wapiga kura wake wasikie kasalenda, au asihudhurie vikao 5 mfululizo sasa atachagua kusuka au kunyoa
Nimeingia rasmi ktk jukwaa hili la jamii forums kwa nia ya kujenga tanzania tunayoitaka kwa hoja, bila kupendelea itikadi ya chama chochote kwa maslahi tunayotaka. Penye kukosoa na penye pongezi nitaonyesha. Uongo na unafki mwiko.
Tanzania tunayoitaka ipo mikononi mwetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.