1.Ipo kwenye hali nzuri sana2.Ina CC 1496 na hivyo ni nafuu kuigharamia mafuta 3.Mileage 95,000km4.Bado haijatumika kabisa hapa Tanzania na inamvuto wa kutosha5.Ni model mpya kwa huku kwetu tanzania.6.Tazama picha zake hapa chini7.Bei 12m
Ninahitaji corolla spacio new model haraka sana.Cha msingi gari iwe kwenye hali nzuri na offer yangu haizidi 9M.Kama unayo wasiliana nami kwa namba zifuatazo:0714652377 au 0768224663.
Ninahitaji haraka spacio new model yenye hali ya kuridhisha.Nipo serious kabisa na offer yangu haizidi 9M.Kama unayo wasiliana nami kwa namba zifuatazo:0714652377 au 0768224663.
Gari hii ni nzima na ipo katika hali nzuri kabisa na yenye mvuto mkubwa.picha zake zitawekwa hapa soon.
Kama unataka maelezo zaidi nicheki kwa:0714652377 au 0768224663
Wadau hivi sheria au miongozo ya wizara ya utumishi inasema nini kuhusu mshahara wa mwajiliwa wa serikali pindi akipewa ruhusa na mwajili wake ili ahudhurie mafunzo ya muda mrefu shuleni?Je hana haki ya kupata mshahara wake?kama anapata je ni full salary au asilimia fulani tu ya full salary...
Wadau nikiri kuwa niko nyuma kidogo kuhusu kuifahamu ipad.naomba anayetumia kifaa hiki anipe shule kidogo kuhusu mambo mbalimbali yanayopatikana kwenye kifaa hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.