Katika hali isiyo ya kawaida na ya kushangaza juzi siku ya juma tano (Eid) maeneo ya tabata relini hapo pembeni ya ofisi za MWANANCHI COMUNICATION nilikuta ajali ambayo ilihusisha magari mawili aina ya SUZUKI ESCUDO, nilipaki pembeni kuangalia kulikoni nikakuta DIWANI MASSANJA WA KATA YA UBUNGO...
Mlala hoi ambaye hawezi kumudu mlo kamili kwa siku anakuwa na matumaini pale anapoamua kukipigia kura chama hiki, na chama alichokichagua kinampa ahadi hizi
Tuta watengenezea ajira milioni moja
Tutawaletea maisha bora kwa kila mtanzania
Tutawatengenezea bara bara nzuri
Tutahakikisha...
Jana afisa habari wa CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) Frolian Kaijage, Alifanya press conference na kutangaza viingilio vya mechi ya TAIFA STARS NA CAMEROON, cha ajabu hawa jama wa TFF wametangaza viingilio vikubwa na vyenye kuwaumiza wavuja jasho wanaotaka kuja kuiangalia na kuishangilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.