UJINGA NI PALE MNAPOACHA HOJA ZA.MSINGI NA KUANZA KUMJADILI MTU. KAGURUMJULI HE'S EDUCATED ENOUGH NA ANA EXPERIENCE YA NGUVU, USIFIKIRIE ALIIBULIWA TU. CHAPA KAZI JENGA NCHI YAKO SIO KUTAKA KUJADILI WATU ALAFU MWISHO QA SIKU MNALALAMIKA VYUMA VIMEKAZA SIJUI NINI KUMBE NI UJINGA WENU WENYEWE
Mkuu kawadanganye wengine mi sidanganyiki; huyo malya jana alikuwa anakula batabpale 777 mpaka saa tano na nusu usiku mi naondoka ye yupo pale alafu unasema ameqasilisha hizo paaper jana duh.. Feom dar to amsterdam ni 9 hrs kwa hiyo unataka kunambia alien ndoka juzi akawasilisha huo ushahidi...
Nimewahi kufika masasi na nikakaa kwa wiki moja na nusu, sikutegemea kama vijana wa kule wanaweza wakafikia hapo mana sifa yao kuu niliyoipta kule nilibakia midomo wazi sasa leo nimeamini kuwa umzaniaye siye.............?? Nanjilinji hiyo
Nyie pigeni kazi kutafuta mkate wenu wa kila siku, mkikaa hapa kuhangaika na Jairo au Pinda au Luhanjo au Ludovic mtamaliza muda wenu buree na msipate lolote la maana. Ngoma ndo ishawekwa uwanjani kazi iliyobaki ni sisi kuicheza au kuikacha lakini hapo hakitabadilika kitu wataendelea kula vyao...
Malumbano mengine yanapoteza mvuto wa jf mweh.... Hebu jaribuni kutoa hoja zenye kufikirika na si upuuzi mnaouleta kwenye hii post yenye maana kubwa kwa maisha ya watanzania. Pole sana mkuu mungu ni mwema siku zote hakika utayashinda majaribu kama kristo alivyoshinda. All the best bra
Acid u gotta it right mzee hawa watu wanajisahau sana see, hivi polisi wameshindwa kugundua kuwa hawawawezi watu wa Arusha? ni vyema wakatafuta njia nyingine kuliko kuharibu namna hii sasa mji wa kitalii wanaufanya uwanja wa vita kweli mweh? naanza kuona the way watalii watakavyoiogopa Arusha
Wacha uongo hizo habari ulizozipata wewe kutoka huko dodoma si sahihi... kwa taarifa yenu jina halijabadilika Pinda Mizengo kanda Peter a.k.a mtoto wa mkulima anaendelea na uwari mkuu kwa kipindi kingine cha miaka mitano kama utaendelea kuamini hivyo basi sikilizia hiyo saa kumi na moja
Lowasa ni nani asiyejua kuwa wewe ni FISADI? Ni nani asiyejua kuwa unamr...............de mama Batilda Buriani?? ukianza kukanusha hapa kuwa haukuwa Arusha kusaidia huyo dada ashinde utafanya watu waanze kumwaga data nyingine nyeti zaidi, watu wamekuchoka watu hawakutaki ni vyema ukatuymia hizo...
Kaka The boss post yako ya kwanza umeboa kwa kweli na ulipaswa kuomba radhi kwa wanajamvi naa hata hao uliowatukana maana wapo dad zetu pia kama si mama zetu, kumbuka unyanyapaa si kwa wagonjwa wa ukimwi tu hata hiyo post yako inanyanyapaa kwa namna moja au nyingine, kumbuka alichokifanya mwana...
Binafsi nimeshazoea kuona ukurasa huu wa JF unabadirika na kuwa na mandhari nzuuri kabisa wakati wa sikukuu kubwa kama x-mass au Eid sasa leo tar 24 sioni changes za aina yeyote ile au wenzetu mmeenda likizo??
Merry Christmas JF Mods na Members wake wote.. Mungu awatangulie kwa kila jambo
Keli demokrasia imekuwa doh, sikutegemea kama Zitto anaweza kuja kupingwa namna hii kutokana na umahiri wake wa kutetea taifa na kutokana na uaminifu aliojijengea miongoni mwa wananchi, haya Zitto Kabwe naamini unaingia humu ndani kazi kwako kupima maoni ya wanajamvi.
Haya dada nashukuru kwa maoni yako ila kumbuka kuwa kunguru mwelevu......... akisema mwache upeo wake ndo umegota hapo sasa ukianza kumwaga cheche na akina GT watakuja hapa then tutapotosha maana halisi ya hii thread.
Thanx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.