nafikiri wapaswa timiza hitaji lake badala ya kulalamika. hata kama uume wako utakuwa ndani yake bado waweza kuwa na nafasi ya kujifunika shuka au blanket
pole sana mtoa mada, fata ushauri wa dakatari, inawezekana pia mtoto akazaliwa salama tu. kuua kiumbe kama wengi walivyoshauri naona kuna ugumu. pengine mungu amesikia kilio chenu cha mtoto wa kiume na ndio huyo amewapatia.
unaweza ukafail mara 99 ila ila ukajaribu tena mara ya 100 ukafanikiwa. acha mama apewe chance, anaweza kuwa bora ukilinganisha na hawa vilaza wengine.
ni kweli nilichosema, nipo jukwaa la siasa maana huku naona atleast kuna watu naweza jadiliana nao mawili matatu au naweza kusoma tu na kuona nini kinaendelea ila kwa hapa ofisini hawana habari na siasa. kazi njema na kwako ingawa nimechelewa kujibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.