Hongera sana jeshi la polisi kwa kumaliza utata ingawa watu wachache wasiokuwa na uzalendo na mapendo mema na nchi yao huwa wabishi kila siku, hawa huwa hawaoni success siku zote wanafikiri kupinga kila jambo linalofanywa na serikali ama vyombo vya uslama hawajui usalama wao hutengea vyombo vya...
Hongeara sana jeshi la polisi kwa kumaliza utata ingawa watu wachache wasiokuwa na uzalendo na mapendo mema na nchi yao huwa wabishi kila siku, hawa huwa hawaoni success siku zote wanafikiri kupinga kila jambo linalofanywa na serikali ama vyombo vya uslama hawajui usalama wao hutengea vyombo vya...
Kova ni kamanda madhubuti kabisa anaaminika na hawezi kufanya kazi kwa matakwa ya watu bali sheria ,kanuni na taratibu za kazi ndio muongozo wake. Kamanda endelea kwani kamamda bora na mtendaji huwa hapendwi na ndio maana tunasemaga kamanda mnoko na kamanda poa usikubali kuitwa kamanda poa bora...
Lakini wana JF, Mtu analalamika amepigwa then wanatokea watu wengine wanamuuliza au kumuhoji nani amempiga hataki kusema, sasa mtu huyo alisema amepigwa kwa maana gani? kutaka kusaidiwa au kutafuta cheap publicity? je ikitokea wala hatuombea mtu huyo akaumwa ghafla na kufariki si itakuwa gumzo.
lakini hivi serikali isingesema kituwatu wangesema hawajali raia wake, imetoa tamko la kufanya uchunguzi watu bado wanasema hakuna lolote, tumekuwa washabiki sana hata ktka mambo ya kiusalama tuache ushabiki wana JF.
Lakini vyombo hivi vyote vya usalama huwa vinakula kiapo kulinda serikali iliyoko madarakani pamoja na wananchi wake, bila shaka hata hao cc wapinzani tukifanikiwa kupata madaraka sidhani kama tutaachia serikali iwe inachezewa chewa lazima kutumia vyombo hivyo hivyo kulinda serikali mpya...
kazi ya kupeleleza kesi ili kupata ushaidi wa kutosha na uhakika ni ngumu sana cha msingi ni vizuri sana sisi tuwe tayari kutoa ushaidi pale tunapohitajika ili ziweze kutolewa hukumu mahakamani.
Chadema msitake kuwafanya wananchi wajinga na kujenga chuki kwa serikali yao, kukitokea machafuko katika nchi hii wananchi ndio watapata shida na kuangaika.
Mi nadhani pamoja na mambo mengine tuiachie tume ifanye kazi yake, tusiitolee majibu tume bali inatupasa tuiwepe ushirikiano katika kutafuta ukweli kwakuwa wote hatujui nani, ama ni kikundi gani kimehusika katika tukio hili ila tutumie busara katika kutoa ushirikiano katika tume iliyoundwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.