Hivi kwa nini huwa mnawachukua wafanyakazi wa TCRA kuwapeleka China kutembelea makao yenu makuu wakati ni wafanyakazi hao hao wa TCRA ni nadra kwa wao kutembelea vyombo vya habari vya hapa ndani. Kwa nini hii siyo rushwa, nasikia wengine hawajarudi bado wako China wanawatembelea. Lakini hivi...
Ee Bwanae, Tumefika hapa kwa sababu "Refa kashindwa kazi, kavaa jezi na kuwa wa 12 katika moja ya timu zinazokinzana" Star TV wamewaambia waandishi wa habari leo.
"Uliza ni watumishi wangapi wa TCRA wameenda kutembelea makao Makuu ya Star Media huko China, na hata wengine hawajarudi''...
NAFASI YA CHUO KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE/ SITA
Contacts: Lemburis Kivuyo 0755646470 NDALA, SHINYANGA: PLOT NO. 91, BLOCK HH
Postal Address: P.O. Box 1016, ShinyangaWebsite: Email: info@esis.ac.tz, www.esis.ac.tz
Press release
The general public is hereby informed that the first...
Mzee ameaga dunia akihitajika. Rafiki yangu alikuwa amepanga kufanya naye mahojiano kwa ajili ya kipindi cha TV, lakini naona kamkosa. Niliwahi kuongea naye kuhusu siasa za Vyama vya siasa, alilaani sana kusahauliwa kwa wazee katika vyama hivi. Aliwahi kusimulia pia jinsi alivyoteuliwa kuwa...
Baada ya kusoma uchambuzi wa Kigwangala kwenye -- kutoka wanajamii, napata hoja kuwa Slaa anapaswa kujibu na kujieleza kuhusu usomi wake -- unaodaiwa hapa chini kuwa ni wa kitaa.
Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za...
ukienda kwenye you tube vhdeo utamuona mdudu triop wa kwenye majaruba ya mpunga akipitia hiyo hatua! Ila madhani ni lugha ya picha ambayo ccm kufikisha ujumbe wa walichodhamiria. Ni mapema kuwahukumu! Mengi ya yaliyotokea zamani kama azimio la Arusha, tujisahihisha. Tathmini ya miaka kumi ya...
Napita hapa shinyanga na muda huu nakuta mzinga arusi, Bwana arusi umri miaka 79 na ni mhubiri na bi arusi afisa mmoja wa serikali. Imefana na waungwana wanashangilia ile mbaya. Kwa wazungu huwa style hii maarufu. Hapa uzoefu ukoje?
kufikiwa kwa madai haya ni ishara kuna watu wanaoiona jf kwa mtazamo huo! Wanaweza wasiwe sahihi lakini itambulike kuwa wapo! Inawezekana wanashawishika kuwa na mantiki hiyo kutokana na pengine colour tone ama mwelekeo na density ya michango dhidi yao, hii ikawa fallacy kuihukumu jf. Bado...
Nimeona kama star tv watarusha mjadala wa Dom kuanzia saa 4.30 usiku! Kuna mtu anasema ni baada ya Bunge kuzuia kwenda live! Labda halikutaka fujo ziende live
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.