Hii inadhihirisha sasa kwanini hakuwawajibisha hawa watu tangu enzi zile za kashfa za kina Jairo na Waziri wake, and the list go on and on.....
Wazo langu, ni kwamba urafiki, uchama n.k unafanya aogope kuwawajibisha kwa kuwaonea haya machoni! Kwamba rafiki zangu hawa sasa nitawaaambiaje? Hiki...
Jamani, hivi hili swala la Ujenzi wa DARAJA LA Kigamboni, ni siasa za chuki za CCM dhidi ya CUF ama ni nini? Kwanini wananchi walipa kodi waeendelee kuteswa na kunyanyaswa kasasababu ya kiitikadi nadhanni sio fair!
Vivuko vilivyopo, ni pressure tupu. kila siku vibovu! Wanasubiri mpaka vipate...
Yaani kweli wewe umeshikishwa! Unawezaje kuandika mambo haya yasiyo kuwa na hoja? Inasemekana kunawatu wameshikishwa kusafisha WATU nadhani nawe ni mmojawao! Zungumza kwa hoja bwana!
My good Tanzania Citizens, my adorable Dar Es Salaam residents, and my Bad Government, do you really tell me that Government of Tanzania failed to build a bridge to Kigamboni? Unataka kuniambia kweli hata wameshindwa kuyapa makampuni mengine binafsi zabuni ya kujenga daraja la kuunganisha...
Kwangu mimi ninaona atakuwa mtu safi, sijui labda huko jimboni kwakwe...Hata hivyo mhe. Rais hawezi akachagua uozo wakati tayari kuna scandal kali kama hiyo iliyo kwisha toke...
Sijui,... jamani chimbeni...Who is Mizeng/we/o Pinda?????
Jamani msimsahau na Mhe. Agustine Lyatonga Mrema, nae alichukua hatua kama hii, na inawezekana zaidi, ya kuaniaka madhambi aya Chama tawala na kujiuzulu... (The motive known by himself!)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.