Gari rav4 inauzwa, kwa anayehitaji tuwasiliane kwa taarifa zaidi, muuzaji anapatikana kwa 0784287546. (Only for serious buyer)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wafanya biashara ya duka karibuni vipo vibanda vya kufanyia biashara vinapangishwa, eneo la Majohe kwa Baba issa karibu na ofisi ya CCM Majohe. Vimejengwa kisasa kabisa bei Tshs 50,000/= @ mwezi.
Salaam wote!
Napenda kuomba yeyote mwenye kiwanja au taarifa ya kiwanja eneo la Majohe ambacho kinauzwa anijuze kwani nahitaji, kiwe na ukubwa kuanzia 30" kwa 30" au zaidi.
Asanteni.
Mkubwa Azael, sio vyema kumnyoshea kidole mjoli wa Bwana Mungu!
Jamii kwa ujumla tulielewe hilo na tusiwe na tabia ya kuthibitisha habari ambayo haijadhihirika ni kweli.
Niwatakie jumamosi njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.