Jamani mbona hamkutushauri nasi wananchi tuwashitaki madaktari wakati nasi tunaendelea kuwapoteza wapendwa wetu au nyinyi hampotezi wa kwenu didnt you depend on their services? au nyinyi mnatibiwa india? vip kuhusu wakina mama wanaosubili kuleta watoto wao duniani au uchungu nao usubilie mgomo...
Bora ulivyojihami kuomba kukosolewa mimi raia lakini nimeona kabisa kuwa nawe ni mmoja kati ya uozo wa jk ndio mnao mfanya anaonekana nchi imemshinda si mnafundshwa maadili au?
Mmmmmmh ndugu yangu mimi na wewe wish yametukuta haya nimezungushwa temeke mpaka nimepoteza kipenzi changu kwenye mikono yao story nyingi tena za bar walikunywaje na wali spend vipi walivyoona nimepoteza mtu ndo wanajishaua kama kufuli la kichaa nashangaa wanavyoishambulia serikari wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.