mbali na yote hayo kuna issue ya muhimu ya kutafakari hapa je nini nafasi ya mifuko yetu ya social security katika hili? Tulitarajia wabuni mafao kusaidia wanachama katika hili na sio kucheza na michango yetu.
Mimi nimechoshwa na huduma za Exim. Walianza vyema sasa wanaboronga ATM mbovu kila siku, wanaiba hela za wateja, customer service mbovu sijawahi kuona nahisi either hawalipwi vizuri au wanalazimishwa kufanya kazi maana mpaka wanakutukana
Nadhani kuna gap kubwa sana kwa upande wa regulator ( BoT) especially katika kuchukua maoni ya sisi wateja wa mabenki maana ni shida sana we acha hao NBC kuna kibenki kidogo cha wahind hao ni wezi kwenye ATMs
BoT lazima waweke standards na sheria kali za kutulinda wateja pia
Tatizo tunaiga sinema za nje na tunataka kuishi maisha tunayotamani kwenye movie , achilia mbali muozo wa quality, soundtrack na mengineyo mengi tatizo ukisema wanasema unachonga sana lakini suala ni kujenga na kutengeneza movie ambazo zitacompete there is a lot of potential in this industry...
Yes I do agree with the threat
However, Iam highly disappointed with poor services from Banks especially Exim bank. I will give you full details of my disappointments na jinsi pesa zako zisipokuwa salama zikiwa katika bank hiyo
Hiyo kidogo kali zaidi ya yote ni NMB and NBC we acha bwana pesa zako mwenyewe lakini siku ukizitaka utakoma na foleni na ubovu wa ATMs na kuna wenzetu wakiingia kwenye ATM wanakaa nusu saa. bongo hii bwana ukiitimba hadi private sector
mimi kinachonisikitisha ni kwamba utasikia rais anataka kuongea na wazee wazee hao hao ndo watakwenda na kupiga makofi na nyimbo za kumsfia kwa sana. Pamoja na hilo inasikitisha sana kuon vingozi wetu wanashindwa kushughulikia suala hili la wazee wetu kwa ufanisi mpaka yanatokea haya yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.