Hawezi kukanusha hiyo hoja kwasababu ni ya kweli kabisa na hata akatae vipi huo ni udharirishaji Wa taaluma, kwani angetoa agizo la kukuta usafi umefanyika mwalimu akatafuta Wa n safisha angepunguza cheo? Tatizo ni kufanyia kazi sofa za kijinga, wanajifanya kwenda na kazi ya Magufuri wakati...
mimi naomba nikuulize swali la kwanza hivi kweli wewe ni mtanzania au raia wa wapi? huu mgomo hdi umeanza doctors walikua wamesha toa mapendekezo yao na kuyawasilisha serikalini bada ya serikali kupuuzia ndo mgomo ulipo anza. sasa ulitaka watumie njia gani zaidi ya hiyo labda wewe utujulishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.