Mpakà akiri itukae sawa tutakuwa tumekwisha. Walioko jikoni wanajipakulia na kushiba kwanza. Hao wengine watajijua.
Nasubiria kusikia machawa wa CCM kama watafutahishwa na hili!
Vijana waache kutumia muda mwingi kwenye ushabiki wa mipira na miziki.
Angalia wakati unatafuta fursa, wewe usije geuzwa fursa.
Msipende kukimbilia kazi rahisi. Nafasi za kisiasa, u ubunge. Tafuta kazi za kutumia akiri na nguvu
Bwashee hii ni story kama story nyingine.
Najiuliza haya matukio kufuatana
Ni kosa kumpiga mwenye frem amekuja kukudai
2. Mwenye frem ameisha kimbia, kwa nini umfuate mpaka kwa jirani.
3. Umevunja drier yake ambayo amepata kwa mkopo, na wewe unataka umlipe nusu. Nusu nyingine atoe wapi?
4. Hiyo...
Muulize mleta mada, hii inchi ni yetu sote, Kila mtu anayeumizwa na tatizo hili ni jukumu lake kutafuta namna ya kulitatua. Kwa kuwa ameliona tatizo na anafikiri wa kulitatua ni chadema, basi naye ajiunge na chadema, agombee ubunge, apambane na kukataa wizi huu.
Viongozi wa dini yangu ya RC, wasome mwanzo mwisho, wajikumbushe aliyofanya huyu jamaa. Hakuna la kutungwa hata moja. Hiki walichofanya Jana, ni kuhamasisha Viongozi wengine watende aliyoyatenda mwenda zake.
Naipenda dini yangu ya RC, lakini kwa kilichofanyika Jana, siungi mkono!
Wanaonyesha level yao ya kufikiri ndani ya box. Warejee waraka wa kwarezima wa baraza la maaskofu katoliki. Warejee aliyofanyiwa askofu Niwemugizi, warejee aliyofanyiwa muumini wao wa Singida TL. Kwa nini wafanye kama mapadre wa Mwanza. Au kuna ukabira flani hivi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.