kwa mara nyingine tena yanga wananyakua kombe na kulitetea pia,kiukweli wamecheza poa,azam pia wamecheza poa,ila mpira dakika 90,yanga 2 azam wanaambulia patupu,simba ni muda wa makosa mliofanya ili kupiga hatua sio kukalia majungu. . .HONGERENI WANA JANGWANI.
bado sana,wanasema watapublish mpaka selected names ziende bodi ya mikopo then baada ya kutoka huko ndo watarudisha tcu then tcu ndo watamalizia kupublish so kazi nzima itaisha late august.
wanajamvi naomba kujua kuhusu education sponsorship kwa masters na degree kama kuna mtu anafahamu makampuni yoyote au individual source yoyote ya kusponsor watu wenye kutaka kujiendeleza kielimu ila economic problems zinawabana,tafadhali tupia humu
Mimi nimemaliza f6 2012. . .Nimepiga pcm,naishi morogoro,nasubr kuingia chuo so huu muda wa katkat nataka nijishkize popote,yoyote anayeweza kunisaidia tafadhali.
Kama alivyosema wazr mkuu "kitu kidogo kama hcho kisitufanye tufikie huko". . . .He z also a human,. .Kama ungekua ni wewe mwana jf ungejibu ki2 gan baada ya lissu kuomba ujiuzuru wkt umekua honest kumwambia nimejaribu kutatua tatizo ila bdo cjafanikiwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.