Jamani vipi tena Jf? Abdi was my brother na alifariki miaka 14 iliopita naomba tuache kuwaongelea vibaya waliotangulia,mi situmii nickname hili ni jina langu,tusihamishie Zeutamu huku.
A proper investigation should be carried out to find out how many women were tricked by his excellency and how many children have been born as a result.
Wrong choice of words,hivi pale miss tanzania hamna mtu wa public relations? kwa tuhuma na hisia mbaya walizo nazo watu, matumizi ya maneno kama haya yanazidi kuharibu
hivi kwanini siku hizi kila kiongozi ikibainika kafanya maovu anatishia kutaja wengine? hi si tayari inadhihirisha kafanya? mi napendekeza kila afanyae hivi iwe "admission of guilt" na hao anaowataja walazimike kujitetea au wakinyamaza nao itambulike ni wahalifu pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.