Watanzania wanataka mabadiliko, CCM imefanya nini miaka yote tangu 1977 tunataka wamwage data za uchumi sio nyimbo za taarabu. Watanznia hawahitaji majungu ya Richond huo ni wimbo wa zamani.
Nani asiyejuwa kuwa mafunzo ya judo yanayoendelea vijijini na mijini katika nyumba za dini.
Hayo ni matokeo ya vyombo vya usalama kufubia macho taarifa za muda mrefu kwa kuogopa kuwakwaza wahusika.
Mkuu una habari kuwa Wakristo ndiyo kundi kubwalinalofanyiwa mateso na hata kuuwawa ulimwengu mzima. Kumbuka nchi zote za Kiarabu na Kiislamu kuwa Mkristo ni kosa la uhaini na adhabu yake kifo? Marekani (USA) kukonekana na biblia au chapisho lolote la kikristo mashuleni ni kosa,la jinai na...
Mmh Mzee Peter Pinda, Tanganyika miaka miwili na nusu? Hivi TANU si ilikuwa inaitwa Tanganyika African National Union(1954) na ilitokana na Tanganyika African Association (TAA)~1929.
Kwa nini Zanzibar iendelee hii chuki dhidi ya Tanganyika inatokana na nini?
Hii move ya ukawa isiangaliwe kijuuujuu ina athari kubwa kwa,siasa za kimataifa, statement aliyoitoa Prof. LIPUMBA kwamba kuna kundi la Intarahamwe inatuweka pabaya kama taifa, ni busara kufanya maridhiano.
Ni zaidi ya bilioni 180 zimetumika kuiandaa rasimu ya Tume ya Maoni iliyoongozwa na Jaji Warioba, leo hii walio webgi bungeni wanaandaa kuitupa jalalani nani mzalendo, yuke akioamua kuondoka au yuke aliyebaki kucheza makidamakida huku anazidi kuteketeza fedha zetu za kodi kujadili rasimu ambayo...
Muungano ni imani kama ilivyo ujamaa ni imani. Wakishaondoka waumini wa ile imani husambaratika kama ilivyokuwa usoshalisti na muungano wa Urusi, alipokufa Brezhnev muumini wa mwisho, kila kitu kikaanza kumeguka. Tuujenge muungano wetu kwa matakwa ya imani ya kizazi cha Sasa waasisi walituaekea...
Wajiulize je! walitumia dispatch kukabidhi documents? Si ajabu kuna mjanja mmoja alidai anajulikana Ikulu hivyo akapeleka makabrasha kienyeji. Watuonyeshe dispatch book nani alipokea document.
Hivi kwa nini Watanzana tunapenda kujidanganya, si kweli kwamba CCM haikutumia gharama kubwa. Matumizi ya watumishi wa serikali, Polisi na vyombo vya mbalimbali vya umma hizo nazo siyo gharama? Inabidi tuwe fair.
Hii habari imepindishwa, nimemsikia mimi mwenyewe alichosema Lisu ni kwamba, kwa nini bunge lisitumie moja kwa moja kiswahili ili kuleta ufanisi wakati wa kutunga sheria. Kwani mijadala hufanyika kwa kiswahili na sheria huandikwa kwa kiingereza jambo linalowaacha mbali wabunge wengi ambao...
Mnalalamika nini? Mbona hizo kadi hawakupewa kimyakimya kuna vijembe dhidi ya CDM viitangulia. Nilimsikia Katibubwa Uenezi, akisema kwamba watu wenye akili timamu wanajiunga na CCM huoni kwamba hili lilikuwa tusi? hivi kujiunga CDM ni dhambi? watoa maoni muwe balanced.
China walikuwa na mfumo uliodumaza maendeleo ya kiuchumi kwa miaka mingi. Lakini walipoachana na mfumo na kufanya total overhaul wamefanikiwa. Dr Mwakyembe na wengine wanaojaribu kujenga juu ya mfumo huu unaosimamiwa na sisi emu hawawezi kifanikiwa, je unaweza kupitisha treni kwenye Reli ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.