Nyumba nimeilipia mwaka mzima, kodi inaisha November this year. Natafuta mtu wa kunirudishia miezi ilobaki. Natarajia kuhama end of March.
Details:
-- 3 Bedrooms, choo, bafu na jiko.
-- Iko ndani ya fense. Kuna nyumba nyingine moja ndani ya the same fense. Kuna ua unaoweza kulaza magari...
WanajF,
Kuna kampuni ya nje tunataka kuingia nao mkataba wa kutuuzia bidhaa. Wameleta mkataba kwenye kipengele cha jurisdiction kinasema mkataba utatambulikwa kwa cheria za nchi yako (wameitaja).
Hii imekaaje kwa sheria zetu, tutakua tumekiuka chochote kwa kukubali? kuna risk yoyote hata kama...
Unadhani aliamka tu asubuhi akaorganise wenzake wakampindue Rais bila kuwa na back-up ya wanasiasa na wafanyabiashara nyuma yake? Ana bahati lile jaribio walilifanya kwa Nyerere, ungekua utawala wa nchi nyingine hizi za kiafrika hata mahakamani kesi zao zisingeenda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.