Mimi naona hizi AI software ni kama ilivyo Google na search engine nyingine. Pia bado haina tofauti mfano mtu akamuomba mwingine amfanyie kazi yake na yeye ku- submit. Tofauti ni kwamba ile ni software na huku aliyefanya ni binadamu. Kwa kifupi AI teknolojia haiepukiki maana ndiyo tuliyomo...
Huyo dada yako ni hovyo kabisa. Hiyo hela alilipa VICOBA maana ndo stress za sasa hivi. Ushauri wangu, sahau kabisa kuhusu hiyo hela, endelea kutafuta, ubarikiwe!
Hongera kwa hatua hiyo!
Ushauri wangu, soma kwanza upate shahada ya kwanza kutoka vyuo vyetu vya ndani, halafu shahada ya Uzamili sasa uombe vyuo vya nje. Samahani kwa mawazo yangu, ila kama hutanielewa leo, utanielewa siku nyingine. Kila la kheri!
Huu uzi nimecheka sana. Hii dunia kuna mambo yanaendelea mengi sana....
Nimegundua
- Logde nyingi au guest house hawazingatii usafi
-Ligha nzuri kwa wahudumu na wateja bado ni changamoto, wote wababe
- Ngono inatembezwa balaa
-Wengi tunasahau kwamba hao wahudumu wana familia zinawategemea
-Muda...
Ingekuwa ni mzungu kafanya hivyo humo wodini tusingeshuhudia hii panic yote. Lakini kwa vile ni mmatumbi, kelele!! Sijaona kosa hapo, tena ingekuwa Mimi ndo mgonjwa nisingeomba radhi. Halafu huyo mgonjwa jirani aliyerekodi "fwala" sana, humo wodini pangechimbika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.