Sina uhakika na kauli za utata za Mh.Zuberi Zitto Kabwe, kwa hili anahitaji aeleze kwa ufasaha ni yepi aliyokuwa anashabikia? na kwa manufaa ya nani? aidha anatuimanisha nini kama anastahili kuendelea kutumikia wananchi wake? Asiye mwaminifu kwa kidogo, utamwamini vipi kwa mambo makubwa?
Nadhani kama ni kweli kwamba mojawapo ya kazi ya Bunge letu ni kuongoza Serikali, inaniwia vigumu sana pale Spika anaposhindwa kutamka neno. Aidha, nadhani moja ya tatizo letu kubwa ni; Elimu, kutokuwepo kwa elimu ya kutosha kwa wananchi wetu katika baadhi ya maeneo, watu wamediriki kumchagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.