kweli kabisa maana tafiti hizo zinaweza kuzungumzia wasomi kumbe ni wale form four wa shule za st st. kayumba wenye four years fighting for food. na ni vigezo vipi vilitumika
Dalili zake ni Kupando kwa joto mwilini, kuvuja kwa damu sehemu zote za wazi za mwili, na kutoa kinyesi na mkojo kilichoambatana au kuchanganyika na Damu.
huwa anakurupuka huyu jamaa sijui kama huwa anathink big, watu wameamua kusema liwalo na liwe yeye anasema hawakupewa nafasi ya kujitetea au kujieza walipewa ila haohao wakina tundu ndio wamewaponza madaktari saizi anajaribu kujisafisha kwa aliowaponza
Waheshimiwa wa jamii foram kwa yeyote atakeyezipata hotuba za wizara ya zfya na ustawi wa jamii, ya selikari na upinzani aziweke hapa ili tuzisome maana asubuhi hii majukumu yamekuwa mengi sana
Kamati ya Nishati na Madini iliyovunjwa ilikuwa inaundwa na:
1. January Makamba (kwa sasa ni Selemani Zedi) - M/kiti
2. Diana Chilolo- Makamu Mwenyekiti
3. Khalfani Aesh (kwa sasa kavuliwa ubunge na mahakama).
4. Prof. Kulikoyega Kahigi
5. Yusufu Haji Khamisi
6. Mariam Kisangi
7. Catherine...
Kwani ni kipi cha ajabu?
Kwa Tanzania na Africa jambo hilo ni kama kawa na usitegemee hata siku moja wanasiasa hawa wa Africa wanaotegemea kila kitu kutoka kwa wenzetu weupe hata fedha za kampeni.
Usitegemee makubwa sana kwa viongozi wa kiafrika wanaochaguliwa, fanya kazi kwa bidii kama...
Haya ndio majembe kabambe yaliyobaki TZ, na wana misimamo ndani ya vyama vyao hawataki upuuzi wa ajabuajabu na ndio maana ndani ya vyama vyao wanapigwa vita sana na kuchafuliwa ila tukimpata mmoja kti ya hawa tutaweza songa mbele ktk nchi yetu. Siangalii chama naangalia Mtu
Acheni kushabikia tuu wanafunzi wa chuo hiko wanakaa mbali na jiji na wanapenda sana kujirusha na masomo yanayotolewa pale mengi ya science na ni magumu sana sasa wakicheza kifuatacho sup so inakula kwao kwani elimu ya chuo sio mchezo vijana someni vyuoni huko acheni ushalobaro na ushalohero
Ahsante ndugu kwa taarifa, ila kwa yeyote anayekoncludi kuwa inahusika na kipigo cha ulimboka aacheni kukonkludi wasomi wa tz ajali ni kokote kila mtu anaweza kuipata leo yeye kesho inaweza kuwa kwako wewe unayeshabikia ata ukaangukiwa na mti je na wewe tukuingize kwenye list
Tunadanganyana tuu hapa, kesi ipo mahakamani na selikali ilishafanya conclusion ya kuwanyang'anya leseni ila wajifunze na next month new interns imeshakula kwao wao si waligoma waendelee kugoma na wanaotaka kwenda nje waende mambo yatakwenda tuu na wanaendelea kupata ugumu mtaani
Hakuna hasara yoyote na watanzania tutapata wataalamu wengine soon kwani waliofukuzwa na kufungiwa leseni ni kundi dogo sana just 350 interns na wale maspeshalist wengi wana hospital zao na wanabaki bongo.
Kuondoka kwa hao mainterns ni kazi bure kwani from mwezi wa nane interns wengine ambao...
msizani watu wote tanzania huwa wanakurupuka, kila kitu kina taratibu zake sio kutangazatangaza tuu, walikuwa wanafuatilia taratibu thats why walichelewa, pia suala la kuachia ngazi halina maana coz mtu mwenyewe alitamka( kama alivyosema mchungaji) sasa kulikuwa na sababu gani mbaya ya kusema...
Acha kupoteza watu uwe na uhakika na unayoyazungumza hapo, hakuna hiko kitu majinge amestarehe tuu na anapongezwa kwa kufanya hivyo huku , anasubiria interns wapya mwezi wa nane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.