Uchi unakuwa uchi pale unapoutafsiri, waungwana mimi natafsir uchi kuanzia kwa beach, club na sehem km hizo. Huyu kaonewa tu, nyie wenye nyuchi mnakutana nazo kila cku had barabaran sembuse hawa swimming pool
Leo kuna mbunge kanikera sana anasema eti serikali ijipange kujenga hospitali ya jeshi. Anaendelea kusema eti kwa kuwa jeshi limeonyesha linanidhamu halita goma km sisi raia. Anasema iwe kumbwa kuzidi hat Muhimbili ilikukidhi mahitaji ya wananchi. SWALI; KUkitokea mgoma hiyo hospitali watatibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.