Leo ni mwezi wa tano tunakaribia kuingia wa sita,yaani tuna miezi chini ya 5 tufanye uchaguzi mkuu ambao tunatumaini utaleta msukumo mpya katika maendeleo ya nchi yetu.
1.Hatujui ilani ya uchaguzi ya vyama
Si chama tawala wala cha upinzani kilichosema kikipata ridhaa ya wananchi kushika...
Wakuu,
Nimealikwa kwenda kwenye mnuso. Waandazi wamekuwa wakarimu wakaweka na ramani ya kufika kwenye eneo la sherehe. Hebu tazameni huo mchoro maana kuna barabara imeandikwa jina ambalo mie silijui. Au pengine sijui wamebadili jina toba yarabi...
Waungwana,
Naomba msaada.
Nimeupdate iphone yangu, 3Gs,ikakubali. Sasa kila nikijaribu kuactivate napata haya maneno kuwa 'Your iphone could not be activated because the activation server is temporarily unavailable'
Sasa tokea juzi bado tu ni temporarily unavailable?
Naomba solution
Hapa Moro stand kumetokea mzozo mkubwa. Abiria wa kutoka Shinyanga wamegoma kufaulishwa kuingia kwenye gari linalotoka Dodoma. Trafiki inaelekekea amefungwa mdomo mana anadai anataka piga simu kwa mabosi wake.
kweli watanznia wameamka saa.Wanajua haki zao sasa. Hali bado tete sana,ni makelel na...
Wakuu, ninataka kufanya biashara ya uvuvi baharini kwa kutumia boti. Nauliza mwenye ujuzi na hii biashara anijuze kuhusu aina za boti zinazotakiwa,ukubwa wa injini,kama petroli au dizeli ndiyo inafaa. Natanguliza shukurani zangu
Inasemekana Makongo Mahanga amebwagwa na mpiganaji Mpendazoe.
===========
UPDATES:
Kuhesabu kura kunaendelea (saa 6:28 usiku sasa) kama inavyoonekana kwenye picha chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.