I wish angejua kuwa mikutano kama hiyo huwa inawanufaisha zaidi wazungu ... Ni wakati muafaka sasa kwa JK arudi home awashirikishe wataalam wa ndani kutatua matatizo ya Watanzania badala ya kuendelea kuonekana kibaraka wa wazungu!....Simfagilii PK lakini namchukulia kama kiongozi aliejitambua na...
unaushahidi wa kutosha? upogo wao wa udini unaihusisha vipi na CDM?... kwanini usitoe mfano wa yule DC wa Igunga alielalamika na BAKWATA ikatoa tamko wakati yule DC anafahamika kuwa nyumbani kwake anafuga KITIMOTO?... CCM mnatumia udini na ukabila kuwagawa watanzania ...tambueni kuwa taratibu...
Umeandika mwenyewe ama umeandikiwa? kama ni wewe mwenyewe kudos kama umeandikiwa kudos! ... Rest assured kuwa ndani ya CDM kuna akina Said Issa Mohamed wengi sana... kufikia December 2014 mtatuelewa tu ... CCM hawana pa kukimbilia this time...
Tayari ni Kiongozi wa CDM...Tatizo lako nini? Kule Ars nasikia Bi Fatu kalawitiwa na Jambazi Mjusi ... Sera zenu za kuwabagua watanzania kwa misingi ya udini na ukabila zimeanza kuwarudi sasa... Mlivyo ------- mmeacha kumteua Chami kuwa Waziri mnamteu Nchemba?! kisa Chami ni Mchagga!!!...ama...
Wewe ndo unawachagulia CDM viongozi? kwani ukivurugwa lazima uonyeshe hisia zako! ZZK out so what? Mpokeeni huko kwenu kwa MAjangili na majambazi wenzio Mijusi, Matata et al... mtoa mada ameleta mapendekezo wewe unadandia dandia hoja kwa style ya Nchemba na Nape ...
Wewe umesomea UDSM? Mwaka gani? Kitivo kipi?... Wenzio sisi tumepita hapo UDSM lakini nilishtuka sana nilipogundua kuwa Open University wako vizuri kuliko hata chuo ambacho mimi nilikuwa nakiona ni bora kabisa hapa Tanzania... Kwa takwimu za zamani naweza nikakubaliana na wewe lakini kwa sasa...
Fair Ground mtuwekee matumizi ya CCM, CUF, NCCR, TLP, et al ili tulinganishe matumizi ya CDM kisha tupime output ya kila chama na kiasi cha ruzuku zinazotolewa! ... Tuanze na lile Jengo la Vijana lililouzwa, Gogo Hotel, Viwanja vya michezo, Majengo na ile Kampuni ya NASACO vimeiingizia CCM kiasi...
Wewe elimu yako ya wapi? kata ipi? Kwa taarifa yako huyo Ben hata ZZK alikuwa anamatumaini nae makubwa sana baada ya kugundua kuwa jamaa yuko sawa upstairs ...unakumbuka ZZK alivyowaambia akina Mtela kuwa issue zinazohitaji strategies lazima Ben azipitishe kwanza?... Ben akili kubwa lazima...
Mjadala wa Zitto tulishafunga long time! Dhambi ya usaliti ni kutimuliwa tu! Hakuna namna... BTW hili ni gazeti gani? kwa maslahi ya nani? kwani mlishndwa kuuliza maswali siku ile mliyoitwa? au kuuza gazeti lazima muitaje CDM? ... Natambua kuwa hapa mnamshambulia Baregu kwa interest zenu lakini...
Nafurahi kuona Kitambiheshima amem-single out Shibuda! Kazi nzuri ya Baregu, Ben Saanane na Marando ndo iliyomtoa Lwakatare lupango! Kazi za hawa watu ziliuanika mpango mzima ulimhusisha ZZK, Zoka, Nchemba, Igondou, Wassira et al jinsi walivyokuwa wanaratibu kuifuta CDM kwa kisingizio cha...
Ukweli utabaki pale pale kuwa Baba waliemmada na waliofata hadi wa sasa walifanya makosa mengi sana kwenye mashamba yetu! Baba aliemadwa alitufanya tuamini kuwa dunia ni salama na kuwa hakuna watu wabaya wakuweza kutudhuru! Alitulea kimayai mayai maana alitusomesha bure tena alitupa madaftari na...
Watakuwa wanatekeleza sera na ilani ya CCM Mkuu... Mimi nilidhani kuwa kuwabagua watu kwa misingi ya dini na kabila ilikuwa ni propaganda za kuimaliza CDM kumbe inatwangwa kotekote... Pole sana bi Fatu ila siku nyingine wakikuita Bar usiende maana Mjusi, Matata, Igondou huwa wanatabia ya kung'oa...
Mikakati hii ya kuwaua wananchi na viongozi wao utafikia tamati soon, MJUSI, MATATA, YULE aliemmada Mvungi mtawakumbatia hadi lini? Majangili na Majambazi hawawezi kufua dafu mbele ya NGUVU ya Umma... I wish ngekuwa na akili timamu labda mngeona jinsi ambavyo wananchi wanavyo zidi kuichukia CCM ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.