Dah.nimeamini ukwaju kiboko ndugu zangu'nilikua na tatizo lakukosa choo na nimefanya hivyo mlivyopost na nimejionea mwenyewe how it works.asanteni sana maana sijaingia gharama na dawa nimeipata'je ninaweza kurudia kusafisha tumbo kwa muda wa siku ngapi?na inatakiwa nifanye kila inapopita muda gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.