kwa kweli hii nihali mbaya sana na inakatisha tamaa kwa wana taaluma wetu ambao wamekuwa wanadai haki yao kwa muda mrefu,vitisho,ugaidi na mambo kama haya ka ma yaliyomkuta Ulimboka ni vitendo visivyo kubalika na kamwe watanzania wazalendo wasikubali kubariki matendo haya,watu wanadai haki zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.