nielewavyo mimi ni kuwa bible imewaelezea key characters yaan wale ambao matendo yao yalikuwa na impact kwa wanadam wa kizazi kile or vizazi vilivyofuata. so naamini Adam na hawa walikuwa na watoto wengine zaid ya Cain na Abel nao walizaliana na kuwa jamii kubwa maana enzi hizo sera ni kuijaza...
kwahiyo iyo destiny inawapata wadada tu??? mie naona anapitia mitihan tu ya maisha na hiyo inawapata wote wadada na wakaka. so usimjaji coz hujui anachopitia maana hata ww hujui destiny yako.
Yaani ni kwamba haupo moyoni wala akilini mwake...sasa wewe cha kufanya delete kila kitu kumhusu then msahau milele, nina kanuni ndogo huwa naitumia waeza itumia pia..'mtu akikukataa na wewe mkatae' .
Wewe ndo umetoa jawabu, kuna mmoja analalamika mkewe hataki cost sharing..natamani angesoma comment hii, siku zote RESPECT IS EARNED na hii haijalishi wewe ni mume au ni baba You have to fullfill your RESPONSIBILITIES, vinginevyo malumbano na misongamano haitakoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.