Wasalaam wote,
Napenda kuanzisha muamko wa maandamano sasa haya maneno hayatasaidia hata siku moja, maana wao wanamajibu wanayoyataka pindi wanapoulizwa maswali magumu, tuweke UDINI pembeni jamani, tuweke ubishi pembeni sasa.. naomba sasa tuanzishe makakati wa maandamano.. tuwe serios...
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameeleza kusikitishwa na kigugumizi cha serikali cha kushindwa kumchukulia hatua aliyekuwa waziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Andrew Chenge, kwa madai ya kuhusika katika kashfa ya ununuzi wa rada.
Alisema inashangaza hadi...
Nimepata hii Article nikaona nishee na nyie kama ita kuwa imeshawekwa basi si vibaya MODS mkiitoa
Greetings All,
For those of you who heard it, this is the article Dee Lee was reading on a New York radio station. For those of you who didn't hear it ...
Jana saa kumi na moja na dakika hamsini na nane (17:58), gari la waziri wa fedha na uchumu (lenye namba za usajiri W FU) na ndani akiwemo waziri mwenyewe wa fedha na uchumi bwana M Mkullo, likiwa maeneo ya upanga karibu na AMREF kuelekea California Dreamer, dereva aliepuka barabara kuu na kupita...
Five surgeons are discussing who has the best patients to
operate on.
The first surgeon says, 'I like to see accountants on
my operating table
because when you open them up, everything inside is
numbered.'
The second responds, 'Yeah, but you should try
electricians...
Heshima Mbele wana JF
naomba kuwakilisha machache kuhusu tofauti hizi, sikuweza kuchukua zote maana nilikuwa natoa direct toka kwenye speech na mimi si mtaalamu wa maandishi so I was missing some points, kwa alie weza kuchukua yote anaweza kuwalisha.
Wakati michango juu ya bajeti ikiwa...
Heshima mbele wana JF
Nimekereka mpaka nimeona ni bora nije mbele yenu ile tujadili hili,
Bahati nzuri nna kalikizo kadogo na kamenisaidia kuweza kupata muda wa kuangalia bunge moja kwa moja (live), Kinachonikera na wabunge wetu hasa wa CCM ni uzembe na upuuzi wa mambo, wabunge wamekuwa...
Ruling party sweats over grand corruption scandals, muafaka
By The Citizen Team
Chama Cha Mapinduzi (CCM) says the recent war against graft is being over-amplified by the media on their own agenda, neglecting some key issues of national interest.
Speaking to Political Platform...
One of the easiest ways to build confidence before a job interview is to prepare answers to questions you might be asked. Whether you're applying for a position as a web programmer, accountant, or legal secretary, interviewers often use some general questions to assess candidates, so you'll...
You've found your dream job.
You spot the job posting, craft a winning resume and e-mail it to the recruiter. Then the waiting game begins.
After you've sent a resume, it's tempting to sit back and hope the recruiter will call. But -- make no mistake -- you SHOULD follow up. You just need...
Huu si ndio ule unaodaiwa kuwa ni wa mkapa??
Mkapa umefikia hatua hii???
WANANCHI waliohamishwa kupisha ujenzi wa Mgodi wa Buzwagi, wilayani Kahama jana
walitawanywa kwa risasi na mabomu ya kutoa machozi yaliyokuwa yakipigwa na Polisi kuzima jaribio lao la kutaka kurudi kwa nguvu...
KAMPUNI ya Maji safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (Dawasco) jana ilianza tena oparesheni maalum ya kukata maji kwa wadaiwa sugu 112, wakiwemo waliowahi kuwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu.
Katika oparesheni hiyo maalum baadhi ya vigogo walioathirika ni Brigedia Jenerali...
Category: Idols
They have got to be kidding us !!!!!
Did you watch The idols east and southern africa auditions in Tanzania?? It was worse then the Nairobi!!! Only four of the many hopefuls pictured above were to chosen by the judges Either Tanzanians cant sing or what else...
Pole sana na safari na karibu tena hapa nyumbani, ningependa pia kukupa hali halisi ya hewa ya hapa nyumbani (nikiamini kabisa wapambe wako hawawezi kukupa ukweli halisa maana bado they will simply tell you what you like to hear na pia bado wako juu hawajui hali halisi ya huku chini), moto bado...
Ndugu wana JF ningependa kutoa pongezi kubwa kwa kazi nzuri inayofanywa nanyi nyote, matunda yanaonekana hata kwa kiziwi na kipofu, sasa ningependa kutoa ushauri wa kuhamishia moto kwa kushinikiza MANYIKA, HOSEA-TAKUKURU kuachia ngazi
HAniingii akilini kuona kuwa hawajamaa wanatuhumiwa na...
Mbunge alalamikia kutukanwa na wananchi
JIBU LA SWALI LA MBUNGE JIMBO LA ILALA
MBUNGE wa Ilala, Musa Azzan Zungu (CCM), amelalamikia kutukanwa na wananchi wake kutokana na kutokarabatiwa kwa Barabara ya Uhuru jijini Dar es Salaam, ambayo ni kero kwa wananchi hao.
Akiuliza swali la...
Malaria sasa naona haitibika maana watu wengi sana hata wakinywa hizi dawa za Metakalfin, Arinet lakini baada ya wiki malaria iko palepale.
Niliwahi kumuuliza Dokta mmoja aliniambia mara nyingi wale wadudu hujificha kwenye maini na kizazi (kwa wanawake).
Ningependa mwenye utaalamu basi...
Nimeguswa sana na uchambuzi wa Gervas nikaona nivizuri niulete hapa
Na Gervas Zombwe wa Tanzania Daima
WANANCHI wanachangishwa michango ya ujenzi wa shule kwa nguvu. Na kutokana na umaskini wao wanaamua kuuza kuku, mazao yao, na hata baadhi ya vitu ili watoe michango ya kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.