Waallah ni kweli huyo jamaa ni mgonjwa wa akili sio masihara ndio maana jwtz likampiga kalamu na hiyo degree ya mwanzo hakumaliza sasa master kaipata wapi au master za ccm tu! maana ni juzi tu tulimuona naibu waziri wa elimu anafanya manyago hadharani hata haya ccm wajaona!
kuhusu sadifa, watu...
namuonen huruma huyu jama eti ni naibu waziri tena wa elimu anaiwakilisha tz kwenye international stage juu ya elimu ya tz, maskini hajui hata tanganyika imeungana na nhi gani! eti na zimbabwe! hofu yangu kuwa sasa anatafuta vita na ugomvi na mugabe!
Kama kweli huyu ni waziri! duuu! poleni...
Maalim Seif Sharif Hamad anahutubia
mkutano mkubwa wa hadhara kisiwani
Pemba sasa hivi na anasema: "Mimi sitafuni
maneno kwamba ni muumini wa Zanzibar
yenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa
itakayofuatiwa na mashirikiano kati yake na
Tanganyika kupitia Muungano wa Mkataba.
Namshangaa leo...
Ifuatayo ni taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Ismail Jussa, muda mchache uliopita, ikielezea azma yake ya kujiuzulu nafasi hiyo. Hata hivyo, Jussa anabakia na nafasi zake nyengine kwenye Chama, ikiwemo ya ujumbe wa Baraza Kuu na Mkutano...
Hakuna anayeweza kubisha kwamba sasa Serikali ya Umoja wa Kitaifa imejaribiwa na imefeli majaribu hayo. Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Bububu ulikuwa ni mtihani uliokuwa ndani ya mtihani. Mtihani wa kwanza ni kwamba ulitakiwa upime kiwango cha ukubalifu wa Ajenda ya Zanzibar.
Mtihani wa pili ulikuwa...
1. Athari za uandikishaji 2010.
Hakuna mabadiliko yoyote ni orodha ile ile ambayo wanachama wengi wa CUF hasa majimbo yenye nguvu hawakuandikishwa licha ya kelele zote zilizipigwa. Ukweli ni kwamba hiyo idadi ya matarajio ya Tume na watu walioandikishwa 9000 bububu. zaidi ya nusu si wakaazi...
​* New Finance Bill yapitishwa kwa mbwembwe Bungeni
* Magari zaidi ya 800 yakwama Bandari ya Dar Tanganyika
* Viongozi wa Zanzibar GNU wanasema hawajui, hakuna ushahidi.
* Imezidisha na kuzaa kero (karo) mpya ndani ya Mchakato mpya wa Katiba
Kama mmefuatilia kwa makini, Agosti 16-2012...
Na Laila Abdullah,
Ni ukweli usiokanushika wa Historia ya miaka 48 ya Mapinduzi na Muungano, kwamba Chama cha Afro-Shirazi Party (ASP) na baadae CCM Tawi la Zanzibar, pamoja na viongozi wake wote walioshika hatamu tangu 1964, ndio wenye JUKUMU la Msiba ulioiangukia Zanzibar. ASP kamwe haiwezi...
WANAOGOPA KUDHURIWA NA VIAPO VYAO
TUWAOMBEE DUA KWANZA
WASIPOBADILIKA TUWAZOMEE KWA ZAMU.
By Zdaima.
Mwenyezimungu wafunguwe waja wako hawa waweze kutambua wema na ubaya Amiin. Ndivyo ninavyoweza kuanza maelezo yangu haya.
Naaam wazalendo. Kwa kweli hali ya ndugu zetu hawa wahafidhina...
father of all, elewa hakuna mzanzibar anayeta muungano huu ila wale mamluki wa tanganyika na wazanziar wenye asili ya tanganyika ambao wana hofu ya kufukuzwa zanzibar, ila sie niya yetu ni hali ya nchi yetu tu, hatomfukuza wala kuwanyanyasa watu wasio wanzibar ndani ya zenj mpya baada ya uhuru...
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuna haja kwa Zanzibar kurejeshewa kiti chake katika Umoja wa Mataifa (UN).
Alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa wilaya na majimbo wa Chama cha Wananchi (CUF) katika ukumbi wa Benjamin Mkapa, kisiwani...
mmmmmmmmmmm! hao cc tunawajua kuwa wanachojali ni matumbo yao tu kwa kusheheni miposho wanayolipwa bungeni sasa wengi wao taaluma na fani zao hazieleweki yaani kuna wengine kati yao hata form 2 wakufika wamekuwa wabunge kwa ujinga wa ccm-zanzibar tu!
sasa tunachosikia hivyo cc wazanzibar...
YEYOTE atayejaribu kuitalii jamii ya Zanzibar ya leo haitomchukua muda kutambua kuwa katika medani yake ya kisiasa kuna kambi mbili kuu. Kambi hizo zinawakilisha ajenda mbili zinazouongoza mjadala mkubwa wa kisiasa unaoendelea Visiwani: ajenda ya Tanganyika na ajenda ya Zanzibar. Hii ndiyo hali...
wewe unazani watanganyika walioko zenj, wanapenda kuiona zanzibar ikawa huru? kiasi aseme hayo ila tunawatoa hofu watanganyika wote waishio zenj, cc shida yetu ni zanzibar huru sasa hatuna wala hatutasubutu kumfukuza mtu yyte zanzibar kwakuwa yy si mzanzibar ila sheria za kimataifa zifuatwe tu...
Tume ya Warioba yatupiwa lawama
Tume ya kukusanya maoni ya Katiba inayoongozwa na ya Jaji Joseph Warioba, imetupiwa lawama kwa kushindwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya baadhi ya viongozi wa CCM wanaowatisha wanachama wasitoe maoni ambayo yanatofautiana na msimamo wa chama hicho.
Waziri...
Waziri Mansoor aunga mkono mkataba!
Waziri asiye na Wizara Maalum wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Mansoor Yussuf Himid, amependekeza kuwepo na Muungano wa mkataba kati ya Tanzania bara na Zanzibar.
Mansoor alitoa matamshi hayo wakati akichangia hoja kwenye semina ya mjadala wa...
kijana wacha kasumba hizo sema kweli,! sio tabia nzuri mtu mzima kusema uongo hakuna cha muoman anayedhamini vuguvugu la ukombozi wa Wanzibar tutoka katika jinamizi hili lililopachikwa jina la muuungano, ni Wazanzibar wenyewe tu wameona bora wawachiwe wapumue kutokana na dhiki na mayanyaso na...
Tuachiwe tupumue! ndio kauli mbiu yetu Wazanzibar!, jamaani hamuelewi kiswahili ona yalianzia kwa Muamsho sasa kwa Viongozi wa kisiasa! mnasubiri nini tena?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.