Pia kumbumbukeni ulaya na marekani unaweza kupata digrii ukiwa na elimu ya darasa la saba, swali la kujiuliza ni ...............je kwa mfumo wa kwetu ni sawa.?
Hii sheria ikija mimi nahama ccm, maana nina mpango wa kusitaafu nikiwa na umri wa miaka 40. Tu ili nifanya busness, naomba nssf wasiingie kwenye sheria hiyo. Wafanye kwa watumishi wa umma tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.