kwa taarifa za ndani ni kwamba walitakiwa tozwa million7 na agha khan kwa hiyo huduma ila wao waliona nyingi wakaamua mpa ticha wao million4 ili ikachomewe dampo. huo ni uzembe wa hali ya juu, ada ya imtu ni kubwa sana, kukosa million7 ni fedheha kwa imtu.
mkuu una gari gani?
maana toyota zinachinjwa mabibo/manzese machinjioni, landrover zinachinjwa temeke mwembe yanga na benzi zinachinjwa kurasini mivinjeni. sasa we sema gari yako aina gani ma model gani ili usaidiwe.
nishapata ajari na prado old model, hizi gari zinahitaji umakini sana hasa ukiwa speed, maana ukiilaza upande mmoja, ukaamishia upande wa pili, unaweza jikuta umehama njia, instability ni ndogo sana. Though prado za kuanzia 2007 barabarani zipo stable compared na zile za zamani.
Mbasha aanze maisha mapya tu, mtu aliyetayari kutengeneza mchongo wa kumuweka jela, akijua fika ni kifungo cha miaka 30 or maisha kitampata mumewa, hatoshindwa mlisha sumu or mitishamba ili ampoteze kabisa.
usiogope sana, unaweza kuta mwalimu ana utaratibu wa kutunga mtihani mgumu, personally nlipataga A ya necta mathematics ila pepa za ndani zilikuwaga tight mbaya, unaweza pata 34 ukawa wa 13 kati ya watu 78, ila mwisho wa siku 42 students tulipata A, hakukuwa na F hata moja.
Kuna walimu pepa...
usishangae wanavyoanza ajiri watu wa construction/civil, maana very soon wanaanza jenga minara yao wenyewe, tayari kuna kampuni zimeshapewa minara ya kujenga ila vibali vya ujenzi bado vinashughulikiwa.
usishangae kuona watu wa logistics wanaitajika kwa wingi, maana wao ni kitengo muhimu kwenye...
Mwambie Edwin aajiri mtu wa cerificate, mwenye kipaji, amtrain mwenyewe for few months, hapo atakuwa na uhakika wa kuwa na mfanyakazi atakayedumu naye hata kwa miaka 3!
kipande kwa siku ni shilingi ngapi?
pick-up aina gani na yenye uwezo gani?
hali ya gari ipo vipi?
mafuta inatumiaje?
imelipiwa ushuru na bima?
bima gani imelipiwa? comprehensive or third part?
Kwa wenye uzoefu na mambo ya mikopo kwenye mabenki yetu yanayofanya kazi zake hapa Tanzania naombeni mnijuze uzoefu wenu.
Ni benki gani zinatoa mikopo based on LPO. (NOTE: collateral ipo ila nahitaji LPO loans only because of nature of my business)
Kuna benki zinaurasimu sana, wanapenda wapewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.