Habari wana jamvi,
SUMATRA ni chombo kinachohusika kusimamia viwango katika huduma ya usafiri wa nchi kavu na majini. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa kila nikipanda daladala au mabasi ya mikoani mara unakuta nafasi kati ya siti moja hadi nyingine (mbele na nyuma) inakuwa imebanwa sana kiasi kwamba...
Habari wanajamvi,
Leo ninaleta kero hii kuhusu hiki kitu kinachoitwa HESLB, naam namaanisha Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini Tanzania.
Ni majuzi tu mheshimiwa Rais JPM alitengua uteuzi wa bwana mmoja aliyekuwa mkurugenzi mtendaji kwa muda mrefu sana ndugu George Nyatega ili kuhuisha...
Habari wana JF,
Naanza na swali: Je, ni halali kwa televisheni ya taifa (TBC) kutangaza habari kwa kupotosha?
Hii imetokea leo katika uchambuzi wa magazeti kwani mtangazaji aliyekuwa akisoma habari za magazeti anashika gazeti na kusema "habari iliyopewa uzito wa kipekee..." lakini cha...
Habari wana jamvi,
Tukiwa katika tafakuri za hapa na pale kuelekea uchaguzi mkuu, nimeona si mbaya tukikumbushana hizi kauli mbili tofauti kabisa zilizotolewa na mtu yuleyule lakini kwa nyakati tofauti.
Ilikuwa ni Januari Pili mwaka 2012 ambapo mgombea urais 2015 kwa tiketi ya CCM, Dr John...
Wasalaam.
Ndugu wanajamvi naona kuanzia tukio la Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kuhama CCM na kujiunga na UKAWA via CHADEMA tumejikita zaidi kuijadili UKAWA na Lowassa na kusahau kuwa hata mgombea wa CCM Dr. John Pombe Magufuli pia ni mgombea wa chama tawala na ambaye pia anaweza kuwa mkuu...
Nimejaribu kupitia post za hii akaunti ya mtu anayejiita Joyce Kiria kwenye facebook lakini hizi post zinanipa wasiwasi kama kweli ni yeye kapost au ni mahasimu wake.
Ili kama si yeye anayepost kwenye hii akaunti aweze kuchukua hatua zinazostahili ili kulinda heshima na utu wake...
Naomba kuwasilisha hizi link (mbili) mjionee wenyewe wana jamii.
Link ya kwanza akiufyatua bungeni
Link ya pili akikiri kumuunga mkono Jussa lakini wakiwa wamejifungia kwenye semina ya CCM
Kwa hali hii je, tutapata katiba ya Tanzania kweli? au majanga.
University girl died after sleeping with a dog…Devil worship?
The Kenyan DAILY POSTFeatured Articles03:35
According to Gistpage.com…
Uche (her surname withheld) was an Accountancy part time student of a Federal University, in Nigeria before her death recently. She was one of the...
"SAMAHANI HUJAUNGANISHWA NA HUDUMA YA EXTREME PACK" Hii ni moja ya mambo yanayonishawishi kuihama tiGO. Ts a hell of sms just been sent by some creepy electronic systems of this kampuni. I wonder whether they have any IT guy down there???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.