Ata mimi ni muhanga wa suala hili na pia sijapata taarifa yeyote kama watu wameitwa kwenye usaili au bado. Ngoja tusubiri watatujuza wenye taarifa na jambo hili hapa.
Kuna haja kuwepo na kipengele cha wananchi kumvua madaraka kikatiba mtu yeyote yule endapo atakwenda tofauti na alichoahidi, hayo sio maneno ya kuzungumza kwa mwakilishi wa wananchi kwa wapiga kura wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.