naombeni mnisaidie nataka kujiunga na chuo hicho kozi ya flight operating officer je chuo kimesajiliwa na kama bado ni chuo gani kingine kinatoa kozi kama hiyo Tanzania
kwa nchi yetu ilivyosasa hilo linawezekana kusemwa ili kuuficha ukweli mi sishangai sana serikali ya sasa ni yaajabu sana lkn ikumbuke watanzania wa sasa sio wa enzi zile za ukoloni watumwa mia wanasimamiwa na nyampara mmoja juzi nilisoma gazeti linasema kuna njama ambayo ilipangwa kuwatoa...
mimi hapo cjawaelewa kabisa naona wanataka kuibia tu wao hizo hela wanakaa nazo muda mrefu na kuzifanyia miradi ambayo sisi wafanyakazi hatuna faida nayo kwanza hiyo mikopo ya nyumba inacomplications kibao wamiwekea conditions ngumu oo uwe na hati miliki ya kiwanja hiyo hati kuja kuipata mbinde...
mimi kero yangu ni ktk kujiendela kielimu upande wa nursing km mtu ana certificate anataka kusoma diploma anaangaliwa ufaulu wake wa fm 4 je hii inahaja gani kwanini yasiangaliwematokeyake ya mwisho wakati anamaliza masomo ya nursing certificate kweli wizara inatukwaza kwa hilo itafanya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.