Huyu jamaa ni kanjanja kweli , taratibu zinajulikana kwa mtu mwenye akili timamu, unapougua unatoa riport hata kama umeugulia kazini kwako na ni riport ya maandishi. Huyu kanjanja ana mwanasheria wake mbona hamwagizi kwenda kutoa riport Bungeni kuwa bwana Lisu bado ngonjwa ? Lakini naelewa kwa...
Wacha ujiga wako , unapata muda wa kuzunguka dunia ukiporomosha matusi na kejeli na kuombea nchi yako balaa , unakosa muda kujaza form ya mali zako , hata kueleza Spika tiba yako inaendeleaje. Kila siku unatwambia utawala wa sheria mbona wewe hutii sheria . Mgonjwa gani anazunguka huku na kule...
Kwani sheria zinasemaje ? Nyumbu bwana wakati mwingine hawaeleweki , watu kila siku tunaimba utawala wa sheria lakini magwiji wa sheria hawataki kufuata sheria. Mtu anapata muda wa kuzunguka dunia akiporomosha matusi lakini anakosa muda wa nusu saa kujaza formu za mali alizonazo
Mtu utauguaje miaka kibao , ukitoka unaenda kutukana alafu unarudi kitandani kuuguza nini .
Lissu ni fix tu kapona zamani si hajabu hata matundu ya risasi hana
Watumishi wa serikali anaosema ni wanaopata vocha za bure za kutumia kurahisisha mawasiliano . Kwa nini Serikali ikupe vocha bure na wewe utumie mtandao binafsi badala ya mtandao wa serikali ?
Hongera Magufuri kwa kubana vizuri pesa zetu
Paskali mbona watanzania mnajifanya wanyonge kihivyo mm sikuelewi , mwenye mawe ni nani ? Tanzania ndio matajiri wenyewe hawa wengine ni vibarua tu , acha wajitutumue sisi ndio wenye mali acha migodi yetu tuifunge watakuja kuchimba vitukuu vyetu . Kwani uchumi wetu hauwezi kujiendesha bila...
Si unajua tena waswahili wanavyopenda kulamba miguu ya wazungu mnaona fahari kuvaa chupi za wazungu ? mnajipaka mikorogo muwafanane , nywele za waliokufa kwao nyie ndio fasheni
Hao Chadema wameisha pewa pesa na Trump watukane Rais wetu sababu ya kukataza mitumba
Vita vya kiuchumi ni vikubwa , Magufuri tukuombee sana maana wataweka vikwazo sababu tumekataza michupi iliyo isha valiwa na hawa majambazi kuletwa kwetu
Wengine wanaona raha kumtukana Rais , huu uvumilivu hatuupendi . Rais ni nembo ya nchi sasa mnaotaka Rais aonekane kama takataka wengine hatupendi , na sisi mtuvumilie tunaposema si adabu kumtukana Rais
Kama nchi ina umri wa miaka 50 kwani Magufuri alikuwa anatawala kipindi chote hiki ? Wacha na yy ajaribu vision yake ikifeli itakuwa sawa kama wengine walivyo feli.
Nakuombea umalize kipindi chako cha miaka 10 mheshimiwa Rais tene uwe jiwe kweli kweli >
Wakongoli wanaoingia kwenye njia yako ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.