Habari za muda huu.
Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu.
Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako unipe huyo muuzaji wako ninunue kwake nisijetapeliwa, kuna wauzaji wa insta niliwaona ndio...
Salaam wanajamvi. Nilijifungua kwa operation wiki4 zilizopita (ya mlalo chini) ila mpaka leo bado hapajafunga japo hapaumi, wiki hii kuna sehemu palikuwa panatoa maji kidogo sana ila tangu jana hayatoki... Najiuliza pia niliambiwa nioge maji mwili wote tangu siku ya 9, labda ndo sababu ya...
Habari za muda huu ndugu wasomaji. Bila shaka hii taarifa inaweza kumfikia mlengwa akabadilika au hospital husika. Hospitali hii ni nzuri ina huduma nzuri sana kuanzia mapokezi,maabara, phamacy na kwa madaktari wake wana huduma nzuri sana ila sasa Kuna huyu nesi yupo upande wa clinic ya kina...
Habari wanajukwaa hili?
Napenda kuuliza je ni halali mbunge aende kusoma nje ya nchi kipindi cha ubunge wake na kuacha jimbo lake bila utendaji wake kama alivyoaminiwa na wapiga kura wake?
Specifically nilimaanisha Joshua Nassari.. nilipita jimboni huko majuzi barabara hazifai, kuuliza...
kama heading ilivyo, wapi naweza kupata net nzuri hizi za kisasa, kwa mfano kuna moja niliona mwaka juzi ya kushusha kwa kuvuta kamba. na je ni bei gani? Nimechoka hizi za kawaida. Nipo Arusha.
Niliiskia hii habari mwaka huu kwamba unaweza kujifungua bila uchungu tena ukiwa unaangalia TV au hata ukisoma gazeti kwa hii process ya epidural.
Ila pia nasikia ni gharama sana kwa wale wenye nazo ndo watapata hii bahati.
Pia naskia hapa bongo ipo Mikocheni hospital.
Swali langu ni...
Ni zaidi ya masaa matatu sasa usafiri umekuwa shida kutokana na jam kubwa inayosababishwa na mkutano wa maraisi wa EAC hapa AICC. safari zote za moshi arusha ni shida.arusha mjini to ngulelo wengi wanatembea kwa miguu au bodaboda
New threat to ozone layer identified
March 9, 2014 21:09
By Matt McGrath
Environment correspondent, BBC News
Dealing with the hole in the ozone layer has been one of the most successful international science projects
Scientists have identified four new man-made gases that are contributing...
Mdada mtangazaji wa star tv ameolewa na Raymond Nyamwihula ambaye naye allikuwa mtangazaji wa star tv, ila kwa sasa anafanya kazi Arusha ni Beural master. wameonesha harusi yao kwenye citizen telkevision ya Kenya. Wamependeza sana
Naombeni anayeifaham hii shule ikoje kama inafaa kwa science, ipo Mbulu, mdogo wangu amepangwa hapo kwa combination ya CBG. Kama kwa science hawapaform tumshauri tu akapige arts.
Baba bahili kwa hela ni noma
Mtoto: Mama nimemuomba baba hela ya kusuka..kaninyoa kipara..
Mama: Una bahati mwanangu ungemuomba whitedent angekung'oa meno yote.
Mtoto: Duh! Je nikimuomba hela ya ALWAYS si atanipa mimba kabisa nisiingie blid!
Walikutana madoctor wa China,Ujerumani,Tz,. kuelezea mafanikio walioyafikia ktk nchi Zao. Dr wa Ujerumani akasema "kwetu alizaliwa mtoto hana miguu tukamwekea ya bandia sasa ni mwanariadha na ana medali 3 za dhahabu". Dr wa China akasema sisi kwetu alizaliwa mtoto hana mikono tukamwekea ya...
Habari wana jf!
Naomba kama kuna anayefaham madhara ya kuhifadhi juice kwenye freezer, maana nina mazoea ya kutengeneza juice then naweka kwenye freezer natumia hata siku tatu.
Ila leo jirani yangu kaniambia hiyo juice inakuwa haina tena kazi, japo hajui inakuwaje kwani naye alisikia tu kwa watu.
Wanajukwaa mambo yamekuwa ovyo sielewi cha kufanya,nilipata ajira mpya hz za juzi za ualimu,nina shahada. Sasa juzi wakati wa kupokea hela ya kujikimu nikakuta jina langu halipo kwenye list ya kulipwa hela. Afsa utumishi akaniambia hawatanipa na hawatanishuhulikia chochote maana nilishawah...
Wapendwa wangu wa arusha nisaidieni kupata nyumba ya kupanga kuanzia maeneo ya kwa mrefu mpaka mianzini. Iwe na bedroom 2,kitchen na toilet, na pia bei kuanzi laki na nusu hadi laki 2. Pia yenye geti kwa ajili ya usalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.