Kama ulishasikia kuuza mbuzi na kupeleka mbuzi shule ndo wewe sasa.
Baada ya kuchoma basi huyo marehemu wako amefufuka? Kwann msingemuatack dereva wa basi?
Ndani ya mwezi huu wa kwanza ty kuna watoto wawili wa miaka 9 na wa miaka 3 wamegongwa na boda mtaanj hapa wakafariki, mmoja amezikwa jana...
Khaaa nimemaliza kusoma ila umenikera sana kwa jinsi unavyopenda kupitiliza.. huyu Mercy mwambie tu ukweli kwamba huwezi kumuoa maana nakuona tu unavyomuoa mercy. Pia Mercy akipata bwana mwenye pesa ndefu atapita naye.
Tungeweza kuwashauri watoto wetu huko vyuoni wangefanya mapenzi kuwa ya ziada...
Kwa kile kilichotokea pale na tylioshuhudia ni madhara makubwa na vifo ni zaidi ya wanavyosema vyombo vya habari, naona serikali imeficha uhalisia wa hii habari na madhara yake.
Scania ilikuwa imebeba scaveter/buldozer (sjui kama inaandikwa hv) yale ya kutengeneza barabara.. kwa hiyo uzito wa scania ulikuwa mkubwa sana.labda nayo imechangia madhara kuwa makubwa.
Hawashei majukumu common ya familia. Mnachozungumzia nyie mkikutana ni ngono na furaha tu. Mkikaa pamoja lazima mtakerana tu, so endeleeni kufurahiana nje ya ndoa tu.
Kaa na mwanao nyumbani umfundishe usimpeleke kwa hao waalimu unaowadharau. Maana nawe akili zako na mtoa post ni mapacha. Mna chuki na waalimu kwa sababu ya ujinga wenu mnaoujua. Tafuteni hela mtulize akili maana pia umaskini unawaharibu akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.